ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,146
- 7,676
Tigo kuna mambo wananikera lakini kwa hili tangu nilijue wamenikuna kwa kweli ngoja niwapeni
Mimi nimeweka sh.1000/= na nikajiunga kile kifurushi cha GB 30 naanza kuzitumia sa tano usiku hadi sa kumi ba moja asubuhi aisee na nimefundishwa kutumia utorrent na mmoja ya mdau humu anaitwa kcamp basi nina enjoy sana nina pakua movie zisizo na idadi na internet ipo speed hatari
Nachokifanya na connect simu angu kwenye PC through USB tethering den sa tano hio nakuwa na movie zangu kama ni 20 naacha zinapakuliwa nikiamka sa kumi na moja nakuta ni complete na streem nafanya mambo mengi kiukweli huwa sizi malizi lakini nacho fanya kabla ya mda wa kifurushi kuisha naunga tena bas hata zile zingne zinaendelea
Nimekuja kushare na nyie hapa wale wazee wa internet hii kitu iko poa
Mimi nimeweka sh.1000/= na nikajiunga kile kifurushi cha GB 30 naanza kuzitumia sa tano usiku hadi sa kumi ba moja asubuhi aisee na nimefundishwa kutumia utorrent na mmoja ya mdau humu anaitwa kcamp basi nina enjoy sana nina pakua movie zisizo na idadi na internet ipo speed hatari
Nachokifanya na connect simu angu kwenye PC through USB tethering den sa tano hio nakuwa na movie zangu kama ni 20 naacha zinapakuliwa nikiamka sa kumi na moja nakuta ni complete na streem nafanya mambo mengi kiukweli huwa sizi malizi lakini nacho fanya kabla ya mda wa kifurushi kuisha naunga tena bas hata zile zingne zinaendelea
Nimekuja kushare na nyie hapa wale wazee wa internet hii kitu iko poa
Last edited by a moderator: