mwanafyale
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 1,641
- 539
Acheni ujuha, kwani waliobaki bungeni sio wa pande zote za muungano? CCM peke yao wako wa Zanzibar na Bara, hizo sio pande mbili za muungano?mkuu mbona wapo sahii bila ukawa hakuna maamuzi kwa mujibu wa sheria maana sheria inaelekeza ni wajumbe wote wa pande mbili za muungano