Kada yeyote wa chama chochote cha siasa hata wa chadema na act wazalendo anaweza kulinunua awe anaandika mambo ya chama chake. Mwanahalisi limerudi mtaani, wanasema hawajapoa wako vilevile kana kwamba hawoni mabadiliko ya uongozi wa nchi. Wakitaka kiki waandike ishu ya bandari kinagaubaga ndio wataonekana hawajapoa
Biashara ya magazeti ilivurugika wakati wa utawala wa awamu ya 5, pale magazeti mengi yalipoamua kuunga mkono juhudi! Huku yale yaliyokomaa, yakifungiwa.
Ni kuanzia wakati huo, ndipo wananchi wengi walisusa kununua magazeti! Na matokeo yake ndiyo haya sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.