Gazeti la Tanzania Daima lachungulia kaburi.

Gazeti la Tanzania Daima lachungulia kaburi.

DOFFA

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
425
Reaction score
233
upload_2016-11-27_7-22-22.png

Hii ndiyo top coverage la gazeti langu pendwa..........................
 
Ulitaka liandike Habari ipi? Za kupengeza na kulamba viatu? Acha ujinga weww
 
Kwani kosa nini hapo ?! Kulalamikia katiba mbovu inayowafunga majaji mikono au ?!

Basi WaTz tutakuwa Wanafki kama si waoga.
 
Ungeweka content ya ukurasa wote .vicginevyo unataka tuchangie tusichokijijua

Jamii Jamii yo habari itakuwa na ufafanizi wa mdogo.
Mbona umeuficha ?

Hata Hivyo ilivyo haina tatizo ina maana nyingi !!
 
Back
Top Bottom