baada ya kumgeuka mwenye kaya nakuanza kuiandama serikali gazeti la mtanzania toleo la leo limehujumiwa na watu wasiojulikana ili habari za leo zisiwafikie wananchi inadaiwa hujuma imefanywa kupitia wakala msambazaji
Haaa nimechaka hadi basi....mwaka huu kazi ipo!baada ya kumgeuka mwenye kaya nakuanza kuiandama serikali gazeti la mtanzania toleo la leo limehujumiwa na watu wasiojulikana ili habari za leo zisiwafikie wananchi inadaiwa hujuma imefanywa kupitia wakala msambazaji