gazeti la mtanzania lahujumiwa dodoma

kingxvi

JF-Expert Member
Feb 11, 2011
879
150
baada ya kumgeuka mwenye kaya nakuanza kuiandama serikali gazeti la mtanzania toleo la leo limehujumiwa na watu wasiojulikana ili habari za leo zisiwafikie wananchi inadaiwa hujuma imefanywa kupitia wakala msambazaji
 
baada ya kumgeuka mwenye kaya nakuanza kuiandama serikali gazeti la mtanzania toleo la leo limehujumiwa na watu wasiojulikana ili habari za leo zisiwafikie wananchi inadaiwa hujuma imefanywa kupitia wakala msambazaji

tuwaache wafu wazikane wenyewe..
 
Kuna njia nyingi za kufikisha habari; si warekebishe website yao? Wakikwamisha physical gazeti, tunapata habari kupitia elictronic version then ile nyeti tunaprint na kutoa photocopy.
 
RA ni bingwa wa michezo hiyo hivyo gazeti lake likipotea sokoni si mbaya naye aonje utamu wa mchezo mchafu
 
baada ya kumgeuka mwenye kaya nakuanza kuiandama serikali gazeti la mtanzania toleo la leo limehujumiwa na watu wasiojulikana ili habari za leo zisiwafikie wananchi inadaiwa hujuma imefanywa kupitia wakala msambazaji
Haaa nimechaka hadi basi....mwaka huu kazi ipo!
 
Acha walihujumu, lilituhujumu na Dr. wetu wakati wa uchaguzi, mwosha uoshwa
 
Jakaya mwenyewe aliingizwa na vyombo vya habari waache watafunane ,wenzao majira walivyoona Jakaya kawatosa baada ya kuwa raisi wakageuza kibao,Mtanzania itumike wananchi sio watawala ikiwa ni dhamira ya ukweli
 
Back
Top Bottom