Gazeti la Majira mmekosa cha kuandika?

Gazeti la Majira mmekosa cha kuandika?

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
61,371
Reaction score
100,422
Nimesikitishwa sana na taarifa ya gazeti la Majira, na Lengo la kuandika hapa ni ili wajisahihishe .
Kilichoniuma ni kuona habari ya Mapokezi ya JK nchini CHINA kupewa kipaumbele as if ni kitu ambacho kitaisaidia Jamii ya Watanzania kuondokana na umaskini au kupata hata madawa kwenye hospital ambazo kumeripotiwa kuwa na uhaba mkubwa sana wa Dawa.

Kwa namna nyingine ni kumdhalilisha Rais yaani as if kilichompelekea China ni kwenda kuvunja historia ya mapokezi na sio kusaini mikatabam pengine majira hawakupendezewa na hio Mikataba (hata mimi sikuipenda) lakini wangeweza at least ku-highlight na issue ya mapokezi ikafuata chini yake (sub titles) yaani ingekuwa kama hivi;

KIKWETE ASAINI MIKATABA (MKATABA) YA MAENDELEO (?)
  • NI YA ujenzi wa bandari
  • utafutaji wa gesi (!!)
  • Avunja rekodi ya mapokezi......

At least ingeleta maana kidogo.....
Magazeti mengi pia yameandika mapokezi hayo lakini haikua habari ya Kipaumbele, kwa mtu mwenye kufikiria pasipo kutumika, tena kutumika kijinga, huwezi kuacha habari nyingine muhimu ambazo zimetokea siku ya jana zikkiwemo hizo za hospital kuishiwa madawa, Mikataba ya TPDC kukataliwa, Jinsi ya Kujikinga na Ebola na mambo ya kiuchumi na katiba kwa ujumla halafu uje utuambie issue ya Mapokezi. Kweli? Kweli kabisa mtu unaweza kuandika vitu kama hivi?

Naiombeni mjirekebishe aisee, na tena naomba nieleweke vizuri kuwa sina Ugomvi kwa Profesa Kikwete kupokelewa kwa mbwembwe nyingi lakini haikua habari muhimu kwa Taifa ambayo ingestahili kuwekwe ukurusa wa mbele.

NB: SIZUNGUMZII SAFARI ZA JK NAZUNGUMZIA UZITO WA HABARI NA GAZETI LA MAJIRA
wewe kweli unashangaza. chuki zingine ni za kustaajabisha. hapo tanzania ndio imepata mapokezi makubwa wewe umekazania tu jk. ishara ya kufanikiwa ziara ni mapokezi. majira hawajakosea kitu.
Sikiliza Sumu, anachosema Elli ni kuwa kwa vile Official visit ya Rais wetu kule China inapaswa iwe wazi kwetu sisi Watanzania habari ya mapokezi yake haikizi haja ya kufahamu nini kimejiri kule China kwa sababu apokewe kifalme au kama mjakazi kwetu sio issue bali issue ni kazi iliyompeleka imefanikiwa kwa kiwango gani na ni nini hasa kimefanyika na kina manufaa gani kwetu. Huwezi kuweka mapokezi kama habari kuu huku ukiacha yaliyofanyika huko kama msingi mkuu wa ziara yake, hivi akirudi TZ na habari tunayoijua pekee ni mapokezi yake wewe utaona ni sawa?
Madhara ya kuandika kwa msingi wa kufurahishana ndio tatizo la vyombo vyetu vingi vya habari na sisi kama wananchi tunabaki weupe vichwani bila kujua nini kinaendelea nchini wakati transparency inatakiwa katika day to day Government activities sio mapokezi.
cc Elli
 
Hujaeleweka unacholalamikia hasa ni kitu gani.

Majira wamekosea wapi?
 
Nimesikitishwa sana na taarifa ya gazeti la Majira, na Lengo la kuandika hapa ni ili wajisahihishe kwahio Moderator msiichanganye habari hii na nyingine maana mimi focus yangu ni kwenye Gazeti na sio Content ambayo yaweza kuwa imeshafunguliwa thread hapa.

Kilichoniuma ni kuona habari ya Mapokezi ya JK nchini CHINA kupewa kipaumbele as if ni kitu ambacho kitaisaidia Jamii ya Watanzania kuondokana na umaskini au kupata hata madawa kwenye hospital ambazo kumeripotiwa kuwa na uhaba mkubwa sana wa Dawa.

Kwa namna nyingine ni kumdhalilisha Rais yaani as if kilichompelekea China ni kwenda kuvunja historia ya mapokezi na sio kusaini mikatabam pengine majira hawakupendezewa na hio Mikataba (hata mimi sikuipenda) lakini wangeweza at least ku-highlight na issue ya mapokezi ikafuata chini yake (sub titles) yaani ingekuwa kama hivi;

KIKWETE ASAINI MIKATABA (MKATABA) YA MAENDELEO (?)
  • NI YA ujenzi wa bandari
  • utafutaji wa gesi (!!)
  • Avunja rekodi ya mapokezi......

At least ingeleta maana kidogo.....
Magazeti mengi pia yameandika mapokezi hayo lakini haikua habari ya Kipaumbele, kwa mtu mwenye kufikiria pasipo kutumika, tena kutumika kijinga, huwezi kuacha habari nyingine muhimu ambazo zimetokea siku ya jana zikkiwemo hizo za hospital kuishiwa madawa, Mikataba ya TPDC kukataliwa, Jinsi ya Kujikinga na Ebola na mambo ya kiuchumi na katiba kwa ujumla halafu uje utuambie issue ya Mapokezi. Kweli? Kweli kabisa mtu unaweza kuandika vitu kama hivi?

Naiombeni mjirekebishe aisee, na tena naomba nieleweke vizuri kuwa sina Ugomvi kwa Profesa Kikwete kupokelewa kwa mbwembwe nyingi lakini haikua habari muhimu kwa Taifa ambayo ingestahili kuwekwe ukurusa wa mbele.

Utakuwa unaumwa, hebu kacheki malaria.
 
Last edited by a moderator:
v5.jpg
 

Attachments

  • v6.jpg
    v6.jpg
    55.6 KB · Views: 338
  • v9.jpg
    v9.jpg
    94.7 KB · Views: 348
Mpwa kama ni wewe sikulaumu maana najua kamwe hutakaa ujue walipokosea. Naamini ujumbe umefika nilipotaka ufike, sio kwa ajili ya kujibishana

Kwa chuki zako za namna hii angalia usije kupata vidonda vya tumbo ukaisingizia CCM.

Nimekuongezea nyingine hapo akiwa Vietnam.
 
Hujaeleweka unacholalamikia hasa ni kitu gani.

Majira wamekosea wapi?

Ameeleweka, hata mimi hii habari nimeisikia katika magazeti mengi ya leo kuwa 'Kikwete avunja rekodi ya mapokezi China na amekuwa akiongozwa na msururu wa pikipiki kila anakoenda'. Ishu ya kujiuliza kupokelewa kwake hivo kuna tija gani kwa taifa? Basi kama mikataba ipo ndo ingepewa kipaumbele katika magazeti yetu ya hapa kuliko habari za mapokezi, natumaini magazeti yetu na wahariri wanafanya kazi yao kwa maelekezo kutoka sehemu, kama ambavyo yanaingia ubia na wale wanaotaka uraisi.
 
mpwa kama ni wewe sikulaumu maana najua kamwe hutakaa ujue walipokosea. Naamini ujumbe umefika nilipotaka ufike, sio kwa ajili ya kujibishana
nilijua tu kuwa ujumbe wako utapata wapinzani vipofu.. Nadhani umewaona wanavo tiririka. Sasaa!! Hebu tusaidie tu weka picha ya hicho kipande cha gazeti tuone muonekano wake. Ili tujue na tupate picha halisi kuwa gazeti majira lipo kwenye mrengo gani..
 
Sifa za kijingajinga kumbe mwenyewe JK alikuwa anazipenda.Sifa ya kupokelewa kwa mbwembwe wachina wanajua wanachopata.
 
Kwa chuki zako za namna hii angalia usije kupata vidonda vya tumbo ukaisingizia CCM.

Nimekuongezea nyingine hapo akiwa Vietnam.
Haina shida kabisa, nimekuelewa, ngoja nitaenda kuangalia na vidonda vya tumbo kama ninavyo, nimekuelewa, vipi mna lingine? Ila point yangu ni kwamba Mapkezi ya Kikwete hayana Tija kwa taifa. The rest mnapiga kelele tu.

Utakuwa unaumwa, hebu kacheki malaria.
Ok ok ntaenda kucheki nitakujulisha nikirudi, sawa.
 
Umeeleweka vizuri kaka..!
Vyombo vya habari vilipaswa kutuchbulia hiyo mikataba ili watanzania tujue kilichoko ndani yake na nchi yetu itanufaika vipi.Mapokezi yake hayatusaidii chochote sisi.
 
Haina shida kabisa, nimekuelewa, ngoja nitaenda kuangalia na vidonda vya tumbo kama ninavyo, nimekuelewa, vipi mna lingine? Ila point yangu ni kwamba Mapkezi ya Kikwete hayana Tija kwa taifa. The rest mnapiga kelele tu.

Ila angepokelewa kwa maandamano yanayompinga ndo yangekuwa na tija?

Acheni Siasa uchwara.
 

KWA UZOBA WETU TUNAFURAHIA HII MISAFARI YA BABA RIZ.. TUJIULIZE HII NI TRIP YA NGAPI MPAKA SASA? MAANA NAKUMBUKA MPAKA MWEZI ULIOPITA ALIKUWA AMEPIGA TRIP 389 SASA SIJAJUA MPAKA KUFIKIA HII YA CHINA NA NASIKIA AMEUNGANISHA JUU KWAJU.. UK?
AFU KUNA KITU WATZ HATUKIONI .. HIVII MNAFIKIRIA WACHINA KUMFANYIA MAPOKEZI BABA RIZ KWA KIWANGO KILE NDIO TUNAPATA MANUFAA? JITAMBUENI BABA RIZ AMESHAJULIKANA KWENYE NCHI ZOOOTE ZENYE UCHU NA RASILIMALI ZETU. HIZO ZOTE NI MBINU ZA KUMGHILIBU AJIONE BABA MISIFA KICHWA KIKUBWA KUMBE ANACHUNWA TU.
NA SIO ANACHUNWA TUNACHUNWA SIE WANANCHI KWA USANII WAKE WA KUJIPENDEKEZA KWA WENYE NAZO.
HIVII KWANINI TZ CHINI YA CCM TUMEKUWA NA INAZIDI KUWA OMBAOMBA KIASI HIKI? NADHANI TATIZO LA KUTOKUWA NA WATU AU UONGOZI WENYE NIA THABITI YA KUJITEGEMEA KUPITIA RASILIMALI ZETU TULIZOJAALIWA NA MOLA NA SIO KUWA NA MIJITU YENYE MAWAZO YA KUTEGEMEA KUOMBAOMBA KILA KUKICHA. shame!!!!
NADHANI SASA NURU IMEANZA KUONEKANA.. UKAWA UKAWA UKAWA NDIO SULUHISHO LA MAJANGA YOOOTE YANAYOIKABILI TANGANYIKA YETU
 
Mkuu eli, ni hivi China walisitisha kupokea viongozi wa kimataifa kwa staili ya kutumia mapikipiki na ving'ora tangu tarehe 1 Jan 2004, miaka 10 iliyopita. Katika miaka hiyo hakuna rais yoyote aliyezuru China akapokelewa kwa staili hiyo. Ni ziara ya JK ndiyo iliyofufua tena mapokezi ya staili hii. Uelewe pia kuwa si gazeti la majira pekee ambao wameshangazwa na mapokezi haya, bali hata vyombo vya habari vya China vimlizungumzia hili.
[TABLE="width: 80, align: center"]
[TR]
[TD="bgcolor: #ffffff, align: left"]
127124626_14139387997451n.jpg

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #FFFFFF, align: center"]Photo taken on Oct. 21, 2014 shows motorcycles escorting the motorcade of Tanzanian President Jakaya Mrisho Kikwete in Beijing, capital of China. China on Tuesday resumed motorcycle escorts for visiting foreign leaders. The protocol had been conducted since the founding of the People's Republic of China in 1949, but stopped on Jan. 1, 2004. (Xinhua/Chen Yehua)
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

BEIJING, Oct. 21 (Xinhua) -- China on Tuesday resumed motorcycle escorts for visiting foreign leaders, including them in the motorcade of Tanzanian President Jakaya Mrisho Kikwete as he travelled from the airport to the Diaoyutai State Guesthouse in central Beijing.

According to a press release from Chinese Foreign Ministry, motorcycle escort is a top protocol arrangement and a security measure for a foreign head of state or head of government.
It is a normal practice for many countries, it said.
China had conducted motorcycle escorts since the founding of the People's Republic of China in 1949, but stopped the practice on Jan. 1, 2004.
SOURCE: Xinhuanet.com
 
Last edited by a moderator:
Ila angepokelewa kwa maandamano yanayompinga ndo yangekuwa na tija?

Acheni Siasa uchwara.
Sidhani kama kuna mahali nimezungumzia siasa, concetration yangu haiko kwa JK iko kwenye gazeti Mpwa, tafadhali tumia kichwa kufikiri sio Makalio
 
Uko sahihi Mpwa na mimi wala sikupinga jambo hili, nilichozungumzia ni kwamba hakukua na haja ya kuiweka habari hii kuwa ndio habari kubwa na kuiacha maana nzima ya safari ya rais, kwa China kwa wao kuweka hio kama habari kubwa ni sawa maana wao ndio walioamua kuweka hio sheria, na sheria ya China has nothing to do withus, sisi ameenda kwenye mikataba, sio kwenye kuvunja sheria....Nadhani point yangu umeipata vizuri mkuu. kwa China ni sahihi kabisa na ina-deserve kuwa on front page lakini sio kwa tanzania labda tukubaliane kuwa habari zetu tunazoandika zinaongozwa na vichwa vya watu wengine kwa maana kwamba kama China wameandika hivyo basi na Sisi lazima tuandike hivyo....
Mkuu eli, ni hivi China walisitisha kupokea viongozi wa kimataifa kwa staili ya kutumia mapikipiki na ving'ora tangu tarehe 1 Jan 2004, miaka 10 iliyopita. Katika miaka hiyo hakuna rais yoyote aliyezuru China akapokelewa kwa staili hiyo. Ni ziara ya JK ndiyo iliyofufua tena mapokezi ya staili hii. Uelewe pia kuwa si gazeti la majira pekee ambao wameshangazwa na mapokezi haya, bali hata vyombo vya habari vya China vimlizungumzia hili.
 
wana habari wanatafuta ukuu wa wilaya,kumwandika vizuri 'prof' ni moja ya sifa ya kuteuliwa u-DC...Only in Tz !!!!
 
KWA UZOBA WETU TUNAFURAHIA HII MISAFARI YA BABA RIZ.. TUJIULIZE HII NI TRIP YA NGAPI MPAKA SASA? MAANA NAKUMBUKA MPAKA MWEZI ULIOPITA ALIKUWA AMEPIGA TRIP 389 SASA SIJAJUA MPAKA KUFIKIA HII YA CHINA NA NASIKIA AMEUNGANISHA JUU KWAJU.. UK?
AFU KUNA KITU WATZ HATUKIONI .. HIVII MNAFIKIRIA WACHINA KUMFANYIA MAPOKEZI BABA RIZ KWA KIWANGO KILE NDIO TUNAPATA MANUFAA? JITAMBUENI BABA RIZ AMESHAJULIKANA KWENYE NCHI ZOOOTE ZENYE UCHU NA RASILIMALI ZETU. HIZO ZOTE NI MBINU ZA KUMGHILIBU AJIONE BABA MISIFA KICHWA KIKUBWA KUMBE ANACHUNWA TU.
NA SIO ANACHUNWA TUNACHUNWA SIE WANANCHI KWA USANII WAKE WA KUJIPENDEKEZA KWA WENYE NAZO.
HIVII KWANINI TZ CHINI YA CCM TUMEKUWA NA INAZIDI KUWA OMBAOMBA KIASI HIKI? NADHANI TATIZO LA KUTOKUWA NA WATU AU UONGOZI WENYE NIA THABITI YA KUJITEGEMEA KUPITIA RASILIMALI ZETU TULIZOJAALIWA NA MOLA NA SIO KUWA NA MIJITU YENYE MAWAZO YA KUTEGEMEA KUOMBAOMBA KILA KUKICHA. shame!!!!
NADHANI SASA NURU IMEANZA KUONEKANA.. UKAWA UKAWA UKAWA NDIO SULUHISHO LA MAJANGA YOOOTE YANAYOIKABILI TANGANYIKA YETU

Ww toka ujitambue ushahesabu trip ulizosafiri?
 
Back
Top Bottom