Gazeti la "Kulikoni" lafungiwa miezi mitatu; kutoka Jumatatu?

Msicheze na hiki chama [CCM], mtakua kila siku mnajidanganya katika ma blog badala yakuweka mipango dhubuti.CCM kina nguvu sana kuliko mnavyodhani.
 
ni uonevu huo wa serikali inaonyesha Serikali haifuati haki na uhuru wa vyomba vya habari serikali imejaa Ufisadi na Rushwa inanuka kila mahali je Tutaendelea kweli jamni* Ukisema kweli wanakufungia jamani CCM imeoza bora kije chama kingine tumechoka Kukandamizwa CCM bora iondoke jamani
 
Limegusa pabaya labda.

inawezekana, jeshi....mtoto wa mkulima Pinda alisemaje...yuko tayari kusulubiwa kupalinda pahala hapo katika lile sakata la meremeta....nadhani mkuchika anafuata tu njia ya wakubwa...
 
Kulikuwa na Story nzito ya Dowans next Monday ndio maana wakafungiwa leo ili wasiende mitamboni?

Kuna stori nzito ilikuwa inakuja jumatatu........lets follow the dots
 
Habari ipi tena??ya Geshi?nini ?Meremeta au ?kazi imeanza!!wameitwa wakajitetea au ndio mamlaka waliyopewa kisheria!!!
Mkuchika ni moja ya mawaziri vilaza kimatendo, anadhani yuko karne ya 19 ama 20, kweli kuelekea uchaguzi mkuu tutaona mengi.
 




- Mukulu Invisible heshima sana kwa hii tangulizo, bado tunasbiri habari yenyewe ili tuchambue facts,

- Ingawa anytime serikali inaporukia vyombo vya habari huwa ni dalili zisizo njema kwa the future ya taifa on the freedom of speech!

Respect.


FMEs!
 
uhhh....You suck
ahh haya bwana Peasant lakini ndo hivyo ukweli unauma, akina Dr Slaa watajijibia maswali wee kwenye hizi blog lakini bila mikakati madhubuti na kuondoa migogoro kwenye vyama watapigwa chini tu. Wachukue idea ya Kabwe ya kuunganisha nguvu upinzani ili wapate viti vingi bungeni.
 
Mkuu Media zetu wanatatizo moja kubwa,kuweka chumvi zaidi na chaajabu watanzania ndo wanazishabikia hizo chumvi.

Hawa jamaa watakapoongeza chumvi dawa yao ni kufungiwa tu, ila kwa sasa ngoja tusubirie hiyo habari afu tuichambue tuone uhalali wa kulifungia.
 
Japo sina hakika lakini kulikoni waliandika kuhusu ripoti ya team of experts nchini Congo kuhusu baadhi ya maofisa wa JWTZ kuwa na uhusiano na mfanya biashara wa kongo anayetuhumiwa kupeleka silaha kutokea Tanzania.
 

- Sawa sawa!


es!
 

You seem to be mentally sick
 
Nani alisema habari za jeshi haziandikwi. Tena jeshini kuna ufisadi wa kutisha! Au ni zile habari walizokuwa wanaandika kuhusu ufisadi kwenye ununuzi wa helikopta? Huku ni kubaka demokrasia.
 
Msicheze na hiki chama [CCM], mtakua kila siku mnajidanganya katika ma blog badala yakuweka mipango dhubuti.CCM kina nanguvu sana kuliko mnavyodhani.

It is not to the best interests za CCM na serikali yake kuanza press censorship kwani kwa kufanya hivyo watu watakosa pa kusemea na wataanza kusemea uvunguni mwa vitanda na hapo ndipo watu wanakuwa na mawazo/mipango mibaya juu ya serikali yao!!Kumbukeni kuwa hata Mwalimu na uadilifu wake alijaribiwa sembuse hawa jamaa wasanii; acheni mambo ya censorship mtatuletea balaa bure!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…