TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,887
- 11,282
Nat'ndugu zanguni nashindwa kuwaelewa wote waliochangia mada hii. mada ni kuhusu gazeti la kulikoni kutoka kwa nini isijadiliwe mada hiyo badala ya kuanza kujadili mtu binafsi. nilitamani sana tujadili uhalali wa gazeti kufungiwa na uhalali wa gazeti kuendelea kutoka. tufikie wakati tujifunze jinsi ya kuchangia mada kwa kuzingatia mtoa hoja mama.
nimeboreka sana na thread hii!! watanzania bado tuna safari ndefu ya kuchambua mambo!!. du du du du du!!!
you have just missed the train... just go bck to this thread and read it through, some of contributors didnt take it personal kabisaaa, unless ninamiss kitu!!!
Yes we have a long way to go, but i think you too have a long way to go because you just took afew striking posts and wrapped up the thread...