DON KILLUMINATI
Senior Member
- Jan 2, 2011
- 193
- 83
Gazeti la jambo leo toleo la leo tar 11 feb. 2011, ukurasa wa mbele kabisa kuna picha ya mtu mmoja ambaye kwa mujibu wao wanasema jina lake halikuweza kupatikana. Kapigwa picha inayoonesha mapengo, halafu juu ya picha hiyo wameandika meno mawili mshwaki wa nini? Huu ni udharirishaji na huyu mtu kama anaweza alifungulie mashtaka na kudai fidia.