Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,915
- 30,259
- Thread starter
- #61
Ralph...Sheikh Mohamed Said wewe ni mtu muungwana sana, na kwa hilo nakuheshimu mno.
Ahasante sana kaka.
Ralph...Sheikh Mohamed Said wewe ni mtu muungwana sana, na kwa hilo nakuheshimu mno.
Sheikh nimekuelewa. Labda nataka kuelewa pia ambacho hujakisema wazi, kuwa watu wanalalamika lakini siyo kwa mtindo ule niliozowea kusikia. Lakini kwa hali ya sasa, nilitarajia malalamiko zaidi kwa msisitizo na jitihada kubwa kuliko wakati mwingine wowote, maana huyu wa sasa anauma bila kupuliza!Ralph...
Popote panapo dhulma malalamiko yatakuwepo.
Huenda wewe huyaoni wala kuyahisi lakini hii haina maana kuwa hakuna malalamiko.
Nich name yangu sijaandika Malaleo ni Mlaleo Kiswahili kwako ni Shida bora uandike kwa lugha Yako ya Kimanyema ila Nahisi utakuwa wewe ni Muha wa Burundi kwa uandishi huo wa Malaleo?Malaleo,
Sijakimbilia popote huo ndiyo mtihani tuliokuwa tukifanya.
Kiswahili unanisoma hapa.
Unaitwa Sheikh unaitikia tu kwa furaha wewe ni Sheikh? wa Wapi? au wa Msikiti wa Manyema maana nasikia hapewi mtu uongozi kama si Mmanyema muleRalph...
Ahasante sana kaka.
Mlaleo,Unaitwa Sheikh unaitikia tu kwa furaha wewe ni Sheikh? wa Wapi? au wa Msikiti wa Manyema maana nasikia hapewi mtu uongozi kama si Mmanyema mule
Chief....awamu hii kila mtu anahangaika na maisha ule ujinga wa watu wanakaa miguu juu wakishashiba na kufanya discussions za kijinga hakuna,watu maisha yamewafundisha ninini maana ya ya utaifa,kile kipindi cha watu wanabangaiza mpaka saa9 alaa'sir mfuko umeshanona na kwenda kwenye vibaraza kujazana ujinga hakipo sasa hivi ni kuhangaika mtu akitoka huko ni nyumbani kwa mkewe chai iko wapi chakula kuoga anakitafuta kitanda anaingoja kesho kama atajaaliwa kwenda kuhangaika tena.bro shibe inampa mtu kiburi hayo yote ya ubaguzi wa kidini sijui nini hayajawahi kuwepo hapa kwetu kilichokuwa kinatokea ni kwasababu maisha yalikuwa rahisi ndo maana watu walipata muda wa kuzungumza ujinga huo ila hatimaye tumeanza kujua na kuelewa kwamba uwepo wa rais au waziri mwenye imani sawa na mimi haunisaidii chochote linapokuja suala la maisha na hali hii acha iendelee ili kizazi kijacho kisije kikarithi ujinga ule.Sheikh nimekuelewa. Labda nataka kuelewa pia ambacho hujakisema wazi, kuwa watu wanalalamika lakini siyo kwa mtindo ule niliozowea kusikia. Lakini kwa hali ya sasa, nilitarajia malalamiko zaidi kwa msisitizo na jitihada kubwa kuliko wakati mwingine wowote, maana huyu wa sasa anauma bila kupuliza!
Chief....awamu hii kila mtu anahangaika na maisha ule ujinga wa watu wanakaa miguu juu wakishashiba na kufanya discussions za kijinga hakuna,watu maisha yamewafundisha ninini maana ya ya utaifa,kile kipindi cha watu wanabangaiza mpaka saa9 alaa'sir mfuko umeshanona na kwenda kwenye vibaraza kujazana ujinga hakipo sasa hivi ni kuhangaika mtu akitoka huko ni nyumbani kwa mkewe chai iko wapi chakula kuoga anakitafuta kitanda anaingoja kesho kama atajaaliwa kwenda kuhangaika tena.bro shibe inampa mtu kiburi hayo yote ya ubaguzi wa kidini sijui nini hayajawahi kuwepo hapa kwetu kilichokuwa kinatokea ni kwasababu maisha yalikuwa rahisi ndo maana watu walipata muda wa kuzungumza ujinchinga huo ila hatimaye tumeanza kujua na kuelewa kwamba uwepo wa rais au waziri mwenye imani sawa na mimi haunisaidii chochote linapokuja suala la maisha na hali hii acha iendelee ili kizazi kijacho kisije kikarithi ujinga ule.
.....ila mwisho wa siku kila mtu ameelewa yanayompasa ktk u-Tanzania wake na umoja wetu,mimi nasema hali hii iendelee ili kila mtu awe busy na shughuli zake tukikutana kama ni kijadiliana iwe ni masuala ya msingi yanayohusu maisha yetu siyo kuzungumza nani kachaguliwa nani hajachaguliwa na sababu nyiiingi za uwongo na kweli.Sir...
Ninapomsoma mtu huwa najenga katika fikra yangu huyu mtu atakuwaje.
Wapi anatoka, nini inaweza kuwa msimamo wake katika matatizo yaliyopo.
Kwa nini anasema haya anayosema.
Napita kwingi na hii inanisaidia kuweza kumjua mtu fikra yake na mengi
mengine.
Nikifika hapa nakuwa na picha kamili na hata kufahamu uwezo wake katika
kufikiri.
Lugha yako na maneno, ''ujinga,'' na uandishi wa mfano wako umenisaidia sana.
Ikiwa naona anastahili kujibiwa basi nitajibu la ikiwa nahisi haifai kumjibu hivyo
ndivyo inavyokuwa.
Waswahili tuna msemo: ''Mdomo haumkatai bwana wake.''
Mkuu Mohamed Said umeulizwa mtoto wa miaka 11 alipigania vipi uhuru?Mlaleo soma taratibu. Kuna Kleist wawili. Babu Kleist Sykes Mbuwane muasisi wa African Association 1929 aliyemzaa Abdulwahid Sykes aliyeasisi TANU na kuna mjukuu Kleist Abdulwahid Sykes aliyefariki hivi karibuni ambae kazaliwa 1950. Kwa mchango wa Babu Kleist katika siasa za Tanganyika ya kikoloni Babu Kleist yumo katika Dictionary of African Biography (DAB) mradi wa Harvard na Oxford University Press. Naamini sasa umeelewa. Hakuna uongo katika haya.
Lusungo,Mkuu Mohamed Said umeulizwa mtoto wa miaka 11 alipigania vipi uhuru?
Sir........ila mwisho wa siku kila mtu ameelewa yanayompasa ktk u-Tanzania wake na umoja wetu,mimi nasema hali hii iendelee ili kila mtu awe busy na shughuli zake tukikutana kama ni kijadiliana iwe ni masuala ya msingi yanayohusu maisha yetu siyo kuzungumza nani kachaguliwa nani hajachaguliwa na sababu nyiiingi za uwongo na kweli.
mzee hujajibu swali,unajua tofauti kati ya. " advice" na " advise"Nich name yangu sijaandika Malaleo ni Mlaleo Kiswahili kwako ni Shida bora uandike kwa lugha Yako ya Kimanyema ila Nahisi utakuwa wewe ni Muha wa Burundi kwa uandishi huo wa Malaleo?
Naku advice kajifunze upya Kiswahili kwa uandishi wako huu!
matusi gani mzee, sidhani kama huyu sheikh huwa anatukanaWewe wajifanya unajua lakini huna lolote kuna siku umeandika matusi humu leo unajifanya ati mtaalam wa R na L
naona unampa elimu ya historia na sarufi kwa mpigo hahaaMlaleo,
''Malumbano,'' si ''marumbano.''
Siku hizi R na L zinawapa shida watu wengi.
Wakati wetu walimu walikuwa wakali sana katika matamshi yote Kiswahili na Kiingereza.
Labda hilo gazeti na picha zinaweza likatufanya tukaelewana.
Hii picha ya juu kulia ni Kleist Sykes, mwandishi, Balozi Abbas Sykes, Sheikh Abdallah
Awadh na Hussein Shebe.
Mwandishi ndiyo mwenye umri mdogo kupita wote na mwenye umri mkubwa zaidi ni Sheikh
Abdallah Awadh.