JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,017
Huyu Niliyemquote kasema Marehemu ndie alikuwa mpigania uhuru asiyejulikana full stop i don't want more marumbano yasiyohitajika... ulitakiwa umuelekeze yeye. kuwa kazaliwa 1950 so hawezi kuwa mpigania uhuru au awe makini na anavyoandika visipotoshe watu ndio maana nakataa.
Mtochoro,Historia ya Tanganyika itabaki kwamba Nyerere ndiye aliyetupatia uhuru maana kuna wengine walikua wanacheza bao pale jirani Lumumba nao wanajiita wapigania Uhuru
Mzee wangu Mohamed Said, shikamoo. Naomba maoni yako huru kabisa kuhusu serikali yetu ya sasa, ni miaka 56 baada ya uhuru. Mchapakazi mpya tuliye naye ikulu ameshughulikiaje suala la ubaguzi uliokuwa ukilalamikiwa wa kidini tangu uhuru, hali ikoje sasa?
Mimi siku zote nilipinga kuwa Nyerere hakuendeleza udini ulioachwa na wakoloni, na nilisapoti hoja zangu kwa ushahidi wa kitendo cha Nyerere kutaifisha shule za misheni ili wote wasome huko kwa uhuru bila kujali dini zao. Pia niliona kama Nyerere alijitahidi kuepuka udini, na hata tuhuma za udini zilipomfikia alijitahidi kuzifanyia kazi. Marais waliofuata hali kadhalika walifanya jitihada hiyo, Mzee Mwinyi japo mwenyewe mwislamu aliwarudishia wakristo baadhi ya shule zao zilizotaifishwa na Nyerere. Mzee Mkapa ndiye aliyewapa waislamu chuo cha Tanesco Morogoro kikawa chuo kikuu chao. Na wote, awamu ya kwanza hadi ya nne walijitahidi kuwa na serikali shirikishi isiyokuwa na sura ya udini, kwa mtazamo wangu. Lakini, kwa mshangao wangu pia, manung'uniko ya udini bado yalikuwepo katika awamu zote hizo.Ralph,
Mimi ningeoenda nami nisome mawazo yako.
Kisha nami nikupe yangu,
Tyler...Mimi siku zote nilipinga kuwa Nyerere hakuendeleza udini ulioachwa na wakoloni, na nilisapoti hoja zangu kwa ushahidi wa kitendo cha Nyerere kutaifisha shule za misheni ili wote wasome huko kwa uhuru bila kujali dini zao. Pia niliona kama Nyerere alijitahidi kuepuka udini, na hata tuhuma za udini zilipomfikia alijitahidi kuzifanyia kazi. Marais waliofuata hali kadhalika walifanya jitihada hiyo, Mzee Mwinyi japo mwenyewe mwislamu aliwarudishia wakristo baadhi ya shule zao zilizotaifishwa na Nyerere. Mzee Mkapa ndiye aliyewapa waislamu chuo cha Tanesco Morogoro kikawa chuo kikuu chao. Na wote, awamu ya kwanza hadi ya nne walijitahidi kuwa na serikali shirikishi isiyokuwa na sura ya udini, kwa mtazamo wangu. Lakini, kwa mshangao wangu pia, manung'uniko ya udini bado yalikuwepo katika awamu zote hizo.
Kilichonisababisha kutaka maoni yako ni kuwa, katika awamu hii, sijayasikia malalamiko yale ya udini tena. Je ni kwamba yamekwisha au hayasemwi? Kama yamekwisha tumpongeze mchapakazi wetu.
Wewe wajifanya unajua lakini huna lolote kuna siku umeandika matusi humu leo unajifanya ati mtaalam wa R na LMlaleo,
''Malumbano,'' si ''marumbano.''
Siku hizi R na L zinawapa shida watu wengi.
Wakati wetu walimu walikuwa wakali sana katika matamshi yote Kiswahili na Kiingereza.
Labda hilo gazeti na picha zinaweza likatufanya tukaelewana.
Hii picha ya juu kulia ni Kleist Sykes, mwandishi, Balozi Abbas Sykes, Sheikh Abdallah
Awadh na Hussein Shebe.
Mwandishi ndiyo mwenye umri mdogo kupita wote na mwenye umri mkubwa zaidi ni Sheikh
Abdallah Awadh.
Mimi huwa sikosei na wala siyumbshwi na hoja zangu sababu huwa zipo sawia... kusanya hoja ya kwanza hadi ya mwisho kisha mspmeshe mwenye akili ataelewa nimesimamia nini... niondolee viroja vyako hapa.Acha kuzuga umeona umeumbuliwa na ujuha wako ndio unajifanya kuchange gia angani,bwege tu wewe
Mlaleo,Wewe wajifanya unajua lakini huna lolote kuna siku umeandika matusi humu leo unajifanya ati mtaalam wa R na L
Du kwenye udini tena, kweli...Mzee, nimesoma Kitabu chako chote cha Maisha na Nyakati za Abduwahid Sykes sijaona mahali ambapo wazee wako wa Kariakoo wanapigania Uhuru, wakiwa peke yao, ndio maana TAA iliitwa "Chama cha Starehe!"
Kazi ya "kupigania" uhuru hasa ilifanywa kwa uongozi shupavu wa baba yetu wa Taifa, Julius Kambarage Nyerere (RIP), japokuwa wewe unampaka mafuta kwa mgongo wa chupa kwa kuwa sio wa dini yako!
Na kwenye kiswahili ulipataje maana umekimbilia CambridgeMlaleo,
Mimi najua sijifanyi kujua.
Naweza nikakuthibitishia kuwa najua ikiwa utapenda.
R na L nazijua kwani nilipata Merit Pass First Class English Oral
Cambridge.
Sina sababu ya kumtukana mto yeyote hapa.
Malaleo,Na kwenye kiswahili ulipataje maana umekimbilia Cambridge
Sheikh Mohamed Said wewe ni mtu muungwana sana, na kwa hilo nakuheshimu mno.Malaleo,
Sijakimbilia popote huo ndiyo mtihani tuliokuwa tukifanya.
Kiswahili unanisoma hapa.
Sheikh wangu naogopa kuiongopea nafsi yangu kwa kinachoonekana dhahiri!Tyler...
Sasa tatizo liko wapi?
Nani anakuzuia kutoa pongezi?
Ninachoshangaa ni kuwa kipindi hiki ambako kuna ubaguzi wa wazi kabisa hakuna anayelalamika.UDINI utaendelea kutafuna mbongo zenu mpaka kiama!
Ralph...Ninachoshangaa ni kuwa kipindi hiki ambako kuna ubaguzi wa wazi kabisa hakuna anayelalamika.