Gaza ilikuwa Paradiso ya Mashariki ya kati!!

Gaza ilikuwa Paradiso ya Mashariki ya kati!!

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
7,435
Reaction score
6,518
Gaza haikuwa gereza kama wajinga na wapumbavu walivyokuwa wanaaminisha watu. Gaza ilikuwa ni johari. Watu waliishi vizuri zaidi kuliko katika nchi nyingi duniani, Lakini Hamas kwa ujinga wao na uovu wa kutosha walifanya mashambulizi ambayo yalibadilisha kila kitu huko Gaza!!!
Sasa hivi Gaza ishakuwa Magofu kabisa!!

 
Hao vibaka wanaojiita waisraeli wapishe maeneo ya wapalestina hapo mashariki ya kati , kinyume na hapo hamas ni wapigania haki.
 
Kuna wimbo unaitwa mtoto kautaka...

Itakuwa Iran aliwaambia Hamas na Hezbollah nyie mnashambulia kutoka Kusini na Kaskazini, Houthi na wengine wanatoka Syria 🤣🤣🤣

Mwisho wa siku Hakuna Sinwar, Nasrallah, Yule Rais wa Iran, Assad yuko Russia...

Sinwar alikosea sana hesabu
 
Gaza haikuwa gereza kama wajinga na wapumbavu walivyokuwa wanaaminisha watu. Gaza ilikuwa ni johari. Watu waliishi vizuri zaidi kuliko katika nchi nyingi duniani, Lakini Hamas kwa ujinga wao na uovu wa kutosha walifanya mashambulizi ambayo yalibadilisha kila kitu huko Gaza!!!
Sasa hivi Gaza ishakuwa Magofu kabisa!!

View attachment 3305167
Wameharibu middle east yote, Lebanon na Syria zilikuwa ni tourist destination za matajiri wa kiarabu na wa magharibi, Islamic fundamentalists hwakupenda mtindo wa maisha ya kisasa, sasa wamerudi nyuma kwa zaidi ya miongo 50
 
Walikuwa wanasema wamechoshwa kuishi jela kubwa duniani... Walibet vibaya.. wakidhani Allah yupo baada ya kidanganywa na Iran Kumbe Yupo Netanyahu
 
Watu wanapigania uhuru na utambulisho wao kama taifa, uliopokwa na wakoloni waliohamia Palestine wakitokea Russia, Poland, Ukraine, Uk, na France we unazungumzia hoja dhaifu kabisa ya kuwa wapalestina wangeacha au waache resistance ili waishi kwa amani.
Inachofanya Israel ni ethnic cleansing na siyo vita dhidi ya Hamas.
Nb.
Hata kama ni baada ya miaka 10000 From land to the sea Palestine will be free.
 
Back
Top Bottom