Echolima1
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 7,435
- 6,518
Gaza haikuwa gereza kama wajinga na wapumbavu walivyokuwa wanaaminisha watu. Gaza ilikuwa ni johari. Watu waliishi vizuri zaidi kuliko katika nchi nyingi duniani, Lakini Hamas kwa ujinga wao na uovu wa kutosha walifanya mashambulizi ambayo yalibadilisha kila kitu huko Gaza!!!
Sasa hivi Gaza ishakuwa Magofu kabisa!!
Sasa hivi Gaza ishakuwa Magofu kabisa!!