Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
"Nidhamu tuliyoitengeneza wanaweza kugombea watu 100, vikao vitaanza kwa ngazi husika kwenda kuchuja ili tupate mgombea ambaye tuna hakika kati ya hao watatu yeyote atakayechaguliwa ana sifa ya kupeperusha bendera ya CCM na kupata ushindi" - Issa Gavu, Mjumbe wa kamati kuu CCM
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025