mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,857
- 106,094
Jana wamefanya ukaguzi sana Kariakoo,walinikutia nabadilisha tumadafu twangu ..mhudumu ana vibrate tu,nchi hii serikali ya CCM mnatutaka nini lakini leseni mtoe wenyewe kisha mnaanza kuwasumbua watu.
Jana wamefanya ukaguzi sana Kariakoo,walinikutia nabadilisha tumadafu twangu ..mhudumu ana vibrate tu,nchi hii serikali ya CCM mnatutaka nini lakini leseni mtoe wenyewe kisha mnaanza kuwasumbua watu.
Nani kakuambia????ndivyo ulivyo fundishwa chuoniItasaidia kurejesha heshima ya shilingi yetu
Hahahaa....... sasa linaziongezea nini?