Gari za "nyonya mavi

Mm Niko mbeya mkuu. Sema sifahamu kama hiyo huduma inatolewa na Mamlaka ya maji au jiji
Mimi mwenyewe sipo Dar ila Mamlaka ya Maji ya mji huu ina huduma hii na inasemekana ni cheaper kuliko kampuni za watu.
 
Hii huduma inapatikana Idara ya Maji, mwanzoni mwaka 2025 kwa mijini bei ilikuwa ths.72,500, sijui kama kuna mabadiliko kwa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…