Karne JF-Expert Member Joined Jun 13, 2016 Posts 10,041 Reaction score 17,838 Dec 17, 2025 #21 new forest said: Mm Niko mbeya mkuu. Sema sifahamu kama hiyo huduma inatolewa na Mamlaka ya maji au jiji Click to expand... Mimi mwenyewe sipo Dar ila Mamlaka ya Maji ya mji huu ina huduma hii na inasemekana ni cheaper kuliko kampuni za watu.
new forest said: Mm Niko mbeya mkuu. Sema sifahamu kama hiyo huduma inatolewa na Mamlaka ya maji au jiji Click to expand... Mimi mwenyewe sipo Dar ila Mamlaka ya Maji ya mji huu ina huduma hii na inasemekana ni cheaper kuliko kampuni za watu.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,102 Reaction score 181,129 Dec 17, 2025 #22 RRONDO said: This is uncalled for! Mkuu mbona unaleta taharuki Click to expand... Ni kweliii
Gunst JF-Expert Member Joined Jan 2, 2015 Posts 3,136 Reaction score 6,017 Dec 17, 2025 #24 Hii huduma inapatikana Idara ya Maji, mwanzoni mwaka 2025 kwa mijini bei ilikuwa ths.72,500, sijui kama kuna mabadiliko kwa sasa
Hii huduma inapatikana Idara ya Maji, mwanzoni mwaka 2025 kwa mijini bei ilikuwa ths.72,500, sijui kama kuna mabadiliko kwa sasa
Joshua Mbezi JF-Expert Member Joined Oct 18, 2024 Posts 1,506 Reaction score 2,900 Dec 17, 2025 #25 Nenda ofisi za mamlaka ya maji ndo wamiliki
Sakasaka Mao JF-Expert Member Joined Sep 29, 2016 Posts 14,926 Reaction score 20,970 Dec 17, 2025 #26 new forest said: Mm Niko mbeya mkuu. Sema sifahamu kama hiyo huduma inatolewa na Mamlaka ya maji au jiji Click to expand... Mara nyingi ni idara za maji pamoja na watu binafsi.
new forest said: Mm Niko mbeya mkuu. Sema sifahamu kama hiyo huduma inatolewa na Mamlaka ya maji au jiji Click to expand... Mara nyingi ni idara za maji pamoja na watu binafsi.