Nijuavyo ni kuwa kuna magari yanayotengenezwa kuwa na 4wd full time na kuna yale ya kizamani ambayo ili kupata 4wd inabidi uingize gear maalumu.
Magari ya kisasa hayana option ya kufanya gari isukume kwa kutumia matari ya upande mmoja, hata hivyo kinacho tafuna mafuta sio 4wd kwa magari ya kisasa bali ni ukubwa wa injini
Mkuu cc 1580 mbona ni inji inayotumia mafuta kidogo kulinganisha na magari mengi yenye cc 2000?ni cc 1580,sidhani kama hii ni engine kubwa ila roughly inaenda 6km/litre!!
Kwa maelezo yako (1.6 Litre engine) haikutakiwa kuwa na ulaji wa mafuta mbaya. Labda uangalie mambo mawili.
1) Ifanyie service gari yako huenda ina matatizo
2) Angalia unavyoendesha gari, hapa ninamaanisha mambo kama vile kuondoa gari kwa kasi kubwa, kukanyaga sana mafuta n.k, ukiwa "dereve mpole" inasaidia sana kuokoa mafuta. Kama unayo manual ya gari soma zaidi kwani kampuni nyingi huandika kipengele cha namna ya kuokoa mafuta katika matumizi ya gari.
Mkuu cc 1580 mbona ni inji inayotumia mafuta kidogo kulinganisha na magari mengi yenye cc 2000?
sijui umejuaje inakula sana mafuta, lakini fuata ushauri wa mkuu https://www.jamiiforums.com/members/tricker.html Millah kwa kufanyia sevisi na hakikisha umebadilisha nozeli maranyingi zikiwa zimechoka gari hula mafuta kuliko kawaida.
Mkuu kwani gari yako ni aina gani then tunaweza jua specification na fuel consumption yake.Nilijaza mafuta full tank,nikaweka zero km then mshale ilipoonesha umefika nusu tanki nikajaza tena nijue lita halisi zilizoingia afu nikagawanya kwa km gari iliyotembea ndo nikapata 6.smthing km/lt,au hii sio njia sahihi?
Mkuu kwani gari yako ni aina gani then tunaweza jua specification na fuel consumption yake.
Njia uliyotumia inategemea, kumbuka unapokuwa katika foleni speed meter inakuwa imesimama na mafuta yanaendelea kulika kama kawa.
posta to tabata ni mwendo wa nusu saa, lakini utatumia masaa matatu kwenye foleni sidhani kama hapa utapata majibu sahihi kwa km/lt