Gari yangu ina shida ya Pump

Hazchem plate

JF-Expert Member
Feb 25, 2011
11,045
15,378
Wakuu habari za jioni. Hongereni na pasaka

Namiliki Gari Toyota Rav 4 A.K.A Miss Tz Ndugu yake na Vanguard ya 2005

Nilipata Shida ya pump kufa toka hapo hii gari imekua changamoto kwangu simply nimeichukia sana natamani hata ninunue ka premio ka kusogeza siku

Nimeshanunua pampu kama mbili nazo zinakufa, Wakati mwingine kwenye safari ndefu inapata moto hadi inabidi nipumzishe gari ndio liwake

Pia gari ikitoka kutembea nikizima, kuiwasha muda huohuo ni mbinde,

Pia hawa mafundi wamechokonoa hadi fuel gauge, hadi mafuta yanaisha lakini bado gauge ipo juu Simply ni kuwa gari haiwashi taa ya mafuta hadi inanizimikia naanza kuangaika na vidumu.

Naombeni ushauri wa kiufundi hasa kumpata fundi mzuri aliepo Arusha aweze kunisaidia hii shida.

Wasalam
 
1. Pump ya mafuta au ya Maji?
2. Hiyo gauge ni umeme jambo dogo.

3. Lini umewahi ifanyia diagnosis tuandikie code ulizozipata. Kama badi anza na ilo.

4. Pump unazonunua ni fake au tatizo lipo kwenye circuit.

nashauri anza na 3.
 
1. Pump ya mafuta au ya Maji?
2. Hiyo gauge ni umeme jambo dogo.

3. Lini umewahi ifanyia diagnosis tuandikie code ulizozipata. Kama badi anza na ilo.

4. Pump unazonunua ni fake au tatizo lipo kwenye circuit.

nashauri anza na 3.

Mkuu ni pump ya mafuta. Diagnosis nafanya lakini si unajua siku hizi kila fundi anakimachine chake uchwara hivi vya bei chee af unapigwa hata elfu 30 - 50 kwa dkk 2 na hasemi mambo ya msingi.
 
Dalili za fuel pump iliyochoka nainaelekea kufa..

1. Whine noise...
Utasikia pump inavuma haswa mafuta yakishafika kuanzia robo ya tank.

2.Hard starting...Mara nyingi utapata ugumu wa kuwasha gari...unaweza kupiga starter mara mbili au tatu ndiyo injini iwake..

3.Rough idling..
Muungurumo wa gari hauwi wa kutulia gari likiwa silence..

4. Loss of power under stress..
Gari lako linaishiwa nguvu kwenye kilima, au pale unapo overtake...au likinasa kwenye tope/mchanga..
Au ukililazimisha kushanganya faster, halitaki..Na hapa ukilazimisha sana kama mafuta nikidogo, pump inapata moto na gari linaishiwa nguvu kabisaa...

5.Gari kuzimika haswa kwenye foleni....

6..Kuna wakati utahisi kama gari linasita sita kwenda..

Hizo ni baadhi ya dalili za awali kuwa una pump mbovu au inayoelekea kufa..

Turudi kwenye suala lako,Kwa nini unanunua pump zinakufa..

1.Trust me, unanunua pump fake....pump ni kitu mabacho hakifi hovyo hovyo endapo ni genuine

2..Pamoja na kwamba unanunua pump fake, kuna muda unaendesha gari likiwa na mafuta kidogo, ambapo mafuta kidogo ndiyo mchawi mkubwa wa pump haswa kama ni vipampu vile vya kichina....kumbuka mfuta hupooza pump..

3.Kama umejiridhisha tatuzo ni pump, nunua pump genuine za magari ya japan huwa zinaingilia haijalishi ni Toyota, Honda ua Nissan...Most of Japanese vehicles zinaingiliana In tank Petrol pump.

Pump original ambayo haitakusumbua kwa zaidi ya miaka 2, haipungui 200k.
Ukipata Denso ni kuanzia laki 2.5 na kuendelea..

NB...ukifunga hizi pump za sh elfu 30, 50 utateseka mpaka uchukie gari.

Nawasilisha..
 
Dalili za fuel pump iliyochoka nainaelekea kufa..

1. Whine noise...
Utasikia pump inavuma haswa mafuta yakishafika kuanzia robo ya tank.

2.Hard starting...Mara nyingi utapata ugumu wa kuwasha gari...unaweza kupiga starter mara mbili au tatu ndiyo injini iwake..

3.Rough idling..
Muungurumo wa gari hauwi wa kutulia gari likiwa silence..

4. Loss of power under stress..
Gari lako linaishiwa nguvu kwenye kilima, au pale unapo overtake...au likinasa kwenye tope/mchanga..
Au ukililazimisha kushanganya faster, halitaki..Na hapa ukilazimisha sana kama mafuta nikidogo, pump inapata moto na gari linaishiwa nguvu kabisaa...

5.Gari kuzimika haswa kwenye foleni....

6..Kuna wakati utahisi kama gari linasita sita kwenda..

Hizo ni baadhi ya dalili za awali kuwa una pump mbovu au inayoelekea kufa..

Turudi kwenye suala lako,Kwa nini unanunua pump zinakufa..

1.Trust me, unanunua pump fake....pump ni kitu mabacho hakifi hovyo hovyo endapo ni genuine

2..Pamoja na kwamba unanunua pump fake, kuna muda unaendesha gari likiwa na mafuta kidogo, ambapo mafuta kidogo ndiyo mchawi mkubwa wa pump haswa kama ni vipampu vile vya kichina....kumbuka mfuta hupooza pump..

3.Kama umejiridhisha tatuzo ni pump, nunua pump genuine za magari ya japan huwa zinaingilia haijalishi ni Toyota, Honda ua Nissan...Most of Japanese vehicles zinaingiliana In tank Petrol pump.

Pump original ambayo haitakusumbua kwa zaidi ya miaka 2, haipungui 200k.
Ukipata Denso ni kuanzia laki 2.5 na kuendelea..

NB...ukifunga hizi pump za sh elfu 30, 50 utateseka mpaka uchukie gari.

Nawasilisha..

Umemaliza kila kitu mkuu.
 
Dalili za fuel pump iliyochoka nainaelekea kufa..

1. Whine noise...
Utasikia pump inavuma haswa mafuta yakishafika kuanzia robo ya tank.

2.Hard starting...Mara nyingi utapata ugumu wa kuwasha gari...unaweza kupiga starter mara mbili au tatu ndiyo injini iwake..

3.Rough idling..
Muungurumo wa gari hauwi wa kutulia gari likiwa silence..

4. Loss of power under stress..
Gari lako linaishiwa nguvu kwenye kilima, au pale unapo overtake...au likinasa kwenye tope/mchanga..
Au ukililazimisha kushanganya faster, halitaki..Na hapa ukilazimisha sana kama mafuta nikidogo, pump inapata moto na gari linaishiwa nguvu kabisaa...

5.Gari kuzimika haswa kwenye foleni....

6..Kuna wakati utahisi kama gari linasita sita kwenda..

Hizo ni baadhi ya dalili za awali kuwa una pump mbovu au inayoelekea kufa..

Turudi kwenye suala lako,Kwa nini unanunua pump zinakufa..

1.Trust me, unanunua pump fake....pump ni kitu mabacho hakifi hovyo hovyo endapo ni genuine

2..Pamoja na kwamba unanunua pump fake, kuna muda unaendesha gari likiwa na mafuta kidogo, ambapo mafuta kidogo ndiyo mchawi mkubwa wa pump haswa kama ni vipampu vile vya kichina....kumbuka mfuta hupooza pump..

3.Kama umejiridhisha tatuzo ni pump, nunua pump genuine za magari ya japan huwa zinaingilia haijalishi ni Toyota, Honda ua Nissan...Most of Japanese vehicles zinaingiliana In tank Petrol pump.

Pump original ambayo haitakusumbua kwa zaidi ya miaka 2, haipungui 200k.
Ukipata Denso ni kuanzia laki 2.5 na kuendelea..

NB...ukifunga hizi pump za sh elfu 30, 50 utateseka mpaka uchukie gari.

Nawasilisha..

Asante sana boss wangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom