Gari ya kukodi kwa siku elfu 25000

Gari ya kukodi kwa siku elfu 25000

Unajua sio kila tangazo unalopost linamuhusu mwenye account , wengine hawana account jf, Ila wanaomba wapostiwe matangazo yao ili yawafikie wengi, kama inavyofanyika instagram, so ukikazana kusema sio Kweli Labda Wewe Ndio Unajua ukweli halisi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wadau, nahitaji gari ya kukodi kwa siku elfu 25 yenye cc ndogo 1500 kushuka chini, kwa matumizi binafsi sio biashara, kwa mwezi mmoja, kama mabadiriko ya kikazi yakitokea nitaongeza mkataba. Napatikana dar. Mawasiliano 0683069444.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa siku elfu 25 ni sawa na miezi 833.33 ambayo sawa na miaka 69 si ndio mkuu?
 
Habari wadau, nahitaji gari ya kukodi kwa siku elfu 25 yenye cc ndogo 1500 kushuka chini, kwa matumizi binafsi sio biashara, kwa mwezi mmoja, kama mabadiriko ya kikazi yakitokea nitaongeza mkataba. Napatikana dar. Mawasiliano 0683069444.

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu hiyo namba yako piga nayo picha utume whatsapp
 
Kufungua akaunti ni bure, kama tangazo siyo lako lazima mwishoni au mwanzoni u declare kabisa.
Unajua sio kila tangazo unalopost linamuhusu mwenye account , wengine hawana account jf, Ila wanaomba wapostiwe matangazo yao ili yawafikie wengi, kama inavyofanyika instagram, so ukikazana kusema sio Kweli Labda Wewe Ndio Unajua ukweli halisi.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alidhani Jf ni kama Fb, humu kuna Gt's kibao bhana

xi xhua tumzgunch
 
Back
Top Bottom