Gari ya biashara inahitajika

Gari ya biashara inahitajika

lawyerrr

Member
Joined
Jun 20, 2017
Posts
66
Reaction score
60
Asalam alaykum ndugu zangu.Bila kuathiri maelezo katika kichwa cha habari hapo juu,nahitaji kununua gari kwaajiri ya abiria.

Gari iwe nzima na iwe haina deni lolote,pia iwe haijarudiwa rangi wala kuwahi kugonga sehemu.

Kwakuzingatia masharti yaliopo kwenye aya ya pili ya Uzi huu,ofa yangu ni shilingi milioni Tisa.

Weka gari na bei yako,nikiridhika na gari yako ntakupm kisha tubadilishane namba na hatua zingine zifuate.

Shukran
 
unataka Costa kwa million 9?? utapata ila jiandae kutembea na box LA spana
 
Back
Top Bottom