Kama katikati ya Jiji ambako ndiko Serikali ipo Zimamoto wanachukua zaidi ya dk 45 kufika sehemu ya tukio je, vipi tukio hilo lingetokea Mpwapwa hali ingekuwa je?
Ndio maana nashauri tuuze midege tuloinunua na tununue Gari za Zimamoto ili kupunguza majanga mtambuka....