The Bizz Buzz
Member
- Apr 18, 2014
- 19
- 0
Gari class B, ya mwaka 1999, ipo dar es salaam, bei 9.5m
Hapa ni jf sio udhanivo...gari iliyopo ni moja yanini kufungua website for only one car...grow up
Hapa ni jf sio udhanivo...gari iliyopo ni moja yanini kufungua website for only one car...grow up
And yes hapo ndo nshamaliza
mkuu naona hujaelewa wewe..hujaambiawa ufungue website, ila umeambiwa "tembelea" website hizo ili uone jinsi wanavyotangaza biashara..
Kimsingi ni kwamba tangazo lako halijakamilika.
Weka spesfication zote muhimu.
And yes hapo ndo nshamaliza
Usinifanye ncheke...we kama unaona halikufai achana nalo...
Hahaha ndugu hayo sio matusi najaribu kuwaelekeza wengi ambo hajui namna ya kua ma-critics sio kwa kutukana watu nadhani ndo mafunzo tunayopewa nawazee wetu..
Kobe we need people like you around here...thank u in advance.