Salaam!
Nahitaji kununua gari aina ya Fortuna hapa Tanzania. Nina taarifa za kuwepo kwa TOYOTA Tanzania kama moja ya wauzaji wa magari mapya.
Naomba kujulishwa wapi pengine naweza kupata gari jipya la mwaka 2013. Chaguo la kwanza ni Fortuna ila naweza badilisha kwenda gari lingine linalofanania.
Asante
Nahitaji kununua gari aina ya Fortuna hapa Tanzania. Nina taarifa za kuwepo kwa TOYOTA Tanzania kama moja ya wauzaji wa magari mapya.
Naomba kujulishwa wapi pengine naweza kupata gari jipya la mwaka 2013. Chaguo la kwanza ni Fortuna ila naweza badilisha kwenda gari lingine linalofanania.
Asante