Gari linauzwa

Gari linauzwa

Joined
Jan 19, 2014
Posts
15
Reaction score
5
gari, saloon aina ya mazda famillia, lenye full registration, comprehensive insurance, na linalokunywa mafuta kwa heshima linauzwa.
ni miezi mitatu tu tangu lipokelewe kutoka japan.
tembelea face book page, ”joseph mwalunda, kuona picha ya gari husika”
price, t. Sh. 14500000.
 
lenye full registration, comprehensive insurance,

tembelea face book page, "joseph mwalunda, kuona picha ya gari husika"
Sio watu wote wana access na facebook page yako. Kama umeona picha uziweke facebook lazima uliona huko ndio kuna wateja, hapa ungepa potezea tu, nani akakutafute kwenye facebook? Matangazo mengine bana ya ajabu sana, eti comprehensive insurance, insurance yako wewe inamsaidia vipi mnunuzi wa gari?

 
Sio watu wote wana access na facebook page yako. Kama umeona picha uziweke facebook lazima uliona huko ndio kuna wateja, hapa ungepa potezea tu, nani akakutafute kwenye facebook? Matangazo mengine bana ya ajabu sana, eti comprehensive insurance, insurance yako wewe inamsaidia vipi mnunuzi wa gari?


six million, ndo bei
 
gari, saloon aina ya mazda famillia, lenye full registration, comprehensive insurance, na linalokunywa mafuta kwa heshima linauzwa.
ni miezi mitatu tu tangu lipokelewe kutoka japan.
tembelea face book page, ”joseph mwalunda, kuona picha ya gari husika”
price, t. Sh. 14500000.

watu wapo kwenye hili jukwaa kutafuta kazi na sio kununua magari mpuuzi wewe
 
HIYO NI KAZI YA GARI......AHAHAAAA huku watu wanauhaba wa ela wewe unawaletea za kuleta utatukanwa mkuu peleka hii post sehem husika
 
Back
Top Bottom