Paul Kijoka JF-Expert Member Oct 25, 2010 1,399 255 Mar 24, 2012 #1 Kwa mujibu wa Getrude Kokwenda Ndibalema in FB, basi moja la abiria limewaka moto maeneo ya Kiiyege. Ameeleza kuwa hakuna mtu aliyepoteza maisha ila tu mizigo michache ndo imeungua na gari limeteketea.
Kwa mujibu wa Getrude Kokwenda Ndibalema in FB, basi moja la abiria limewaka moto maeneo ya Kiiyege. Ameeleza kuwa hakuna mtu aliyepoteza maisha ila tu mizigo michache ndo imeungua na gari limeteketea.