Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 51,262
- 22,513
Ndugu wapendwa ni wiki mbili tu baada ya kuiba pikipiki sasa waheshimiwa wameamua kuiba gari <br />
gari moja imetekelezwa asbh ya leo muda si mrefu baada ya watu wasiojulikana kuiiba na kuja kukimbilia kuitekeleza<br />
gari hiyo ambayo mmiliki wake anaitwa freddy james ina namba t661 ajf polisi wameshaarifiwa wameshindwa kuibeba<br />
baada ya waungwana hao kuchomoa matairi 3 kati ya nne na kuiweka kwenye mawe <br />
<br />
MUNGU aepushe mbali isije ikawa wametoa roho ya mtu
gari moja imetekelezwa asbh ya leo muda si mrefu baada ya watu wasiojulikana kuiiba na kuja kukimbilia kuitekeleza<br />
gari hiyo ambayo mmiliki wake anaitwa freddy james ina namba t661 ajf polisi wameshaarifiwa wameshindwa kuibeba<br />
baada ya waungwana hao kuchomoa matairi 3 kati ya nne na kuiweka kwenye mawe <br />
<br />
MUNGU aepushe mbali isije ikawa wametoa roho ya mtu