Finufingi Senior Member Joined Feb 1, 2012 Posts 139 Reaction score 50 Jan 13, 2016 #41 Hongera Mchungaji Msigwa.....good....na Mungu akikujaalia tena vuta hata hammer. Acheni wivu kwanza ni dhambi!
Hongera Mchungaji Msigwa.....good....na Mungu akikujaalia tena vuta hata hammer. Acheni wivu kwanza ni dhambi!
Konda wa bodaboda JF-Expert Member Joined Jul 18, 2014 Posts 7,981 Reaction score 4,172 Jan 13, 2016 #42 Acheni wivu, mlitaka apande punda? Hahahaha
HARUFU Platinum Member Joined Jan 21, 2014 Posts 31,704 Reaction score 48,140 Jan 13, 2016 #43 Kweli gonjwa la ajabu, huyo jamaa ana mazito sana. Kipimo cha mapenzi ndio hapo. Mke kashindwa amekimbia badala ya kuwa na mumewe bega kwa bega, inasikitisha
Kweli gonjwa la ajabu, huyo jamaa ana mazito sana. Kipimo cha mapenzi ndio hapo. Mke kashindwa amekimbia badala ya kuwa na mumewe bega kwa bega, inasikitisha