Hata wewe Barbarosa umefikia kiwango cha kupiga picha gazeti la udaku na kufanya ni thread? Dont go that much low bwana! Hayo mambo waachie wakina HAMY-D, Simiyu Yetu and the like"
umemsahau na laki si pesa, la ngonyani hajaliona?Hata wewe Barbarosa umefikia kiwango cha kupiga picha gazeti la udaku na kufanya ni thread? Dont go that much low bwana! Hayo mambo waachie wakina HAMY-D, Simiyu Yetu and the like"
Angalia chanzo cha habarimbona gari ya kawaida sana?
Inamaana wabongo tumekuwa masikini sana hata hiyo gari tunaishangaa mtu kuimiliki?
Angalia chanzo cha habari
Basi kwenye jamii yetu kuna daraja la watu hicho ndio chanzo chao cha habari cha kuaminika! so sad...!!!Nimekiona mkuu.
Sio ajabu mtz kumiliki hii gari, kama unazo haina utata!mbona gari ya kawaida sana?
Inamaana wabongo tumekuwa masikini sana hata hiyo gari tunaishangaa mtu kuimiliki?
Inakuaje mwanahalisi na mawio mnalikubali kama vyanzo stahiki vya habari ila hili gazeti hamlikubali?Basi kwenye jamii yetu kuna daraja la watu hicho ndio chanzo chao cha habari cha kuaminika! so sad...!!!