Gari la mch. Msigwa (CHADEMA), ni balaa!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,817
DSC00887.jpg
 
Kwani hiyo sio Toyota Vx? Bei yake ni ya kutisha sana? Mbona sijaona cha kushtua hapo? Mwacheni bhana maisha yenyewe we live just once
 
mwacheni ale Raha angenunua vitz mngesema kanunua gar ya wanawake

ulimpa kura subir maendeleo sio kufuatilia mambo yake binafsi
 
MAGAZETI. NI BIASHARA YA HABARI ! ZITOKE WAPI NA VIPI NI WAO.SISI TUNACHUKUA KILICHO NA MAANA NDIYO MAANA TUNACHAGUA 'Ninunue lipi hapo ?'
 
mbona gari ya kawaida sana?

Inamaana wabongo tumekuwa masikini sana hata hiyo gari tunaishangaa mtu kuimiliki?
 
mbona gari ya kawaida sana?

Inamaana wabongo tumekuwa masikini sana hata hiyo gari tunaishangaa mtu kuimiliki?
Sio ajabu mtz kumiliki hii gari, kama unazo haina utata!
Ila naomba unijuze Inauzwa kiasi gani ili tujue ni ya kawaida kwa mtz wa kawaida au ni ya matawi ya juu!
 
Back
Top Bottom