mwanahabari93
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 263
- 170
sasa wewe na magazeti yako ya udaku bado ujapata ufumbuzi kwenye akili yako juu ya magazeti a shigongo.......pole ndugu ila uirudie tena....ndugu kutuletea...habari zako za udaku
sasa wewe na magazeti yako ya udaku bado ujapata ufumbuzi kwenye akili yako juu ya magazeti a shigongo.......pole ndugu ila uirudie tena....ndugu kutuletea...habari zako za udaku
Mkuu mimi nilikuwa nakuona mtu makini, kumbe unasoma Magazeti ya udaku!!!!!!
Umemsahau Mr Chini ... Au siku hizi kaacha?Hata wewe Barbarosa umefikia kiwango cha kupiga picha gazeti la udaku na kufanya ni thread? Dont go that much low bwana! Hayo mambo waachie wakina HAMY-D, Simiyu Yetu and the like"
Siku hizi simuoni humu labda katangulia mbele ya haki! Unajua watu wa aina ile hata akitembelea porini lazima aliwe na simbaUmemsahau Mr Chini ... Au siku hizi kaacha?
Wewe ukitangulia kunaubaya gani?Siku hizi simuoni humu labda katangulia mbele ya haki! Unajua watu wa aina ile hata akitembelea porini lazima aliwe na simba
Hiyo gari kuinunua hadi juipitisha bandarini ni almost 300mil. hivi baada ya makato yote. Sasa kwa wabunge kwa kuwa hawalipi kodi ya ushuru bandalini gari hiyo wanainunua kwa mil. 110 au hata ishirini hadi kufika bongo, wabunge wanajaziwa mafuta, gharama za matengenezo ya gari pamoja na mshahara wa dereva, kwanini washindwe kumiliki magari hayo?Sio ajabu mtz kumiliki hii gari, kama unazo haina utata!
Ila naomba unijuze Inauzwa kiasi gani ili tujue ni ya kawaida kwa mtz wa kawaida au ni ya matawi ya juu!
Hivi hujui kuwa kuna watu tabia zao hawana tofauti na wanyama wa porini? Hivyo huyo kuwa na harufu ya punda au nyumbu sio ajabu hivyo kuwa kivutio cha simba kumlaWewe ukitangulia kunaubaya gani?
Unaudugu na simba kiasi kwamba hawezi kukutafuna uwapi polini!?
Hii ni gari ya kusema ni balaa kwa mbunge mwenye kipatao cha uhakika kwa mwezi? gari ya kawaida sana huku kwetu machinga wengi wanazo, Kirsmas na Mwaka mpya zilikua zimejaa, masikini tu na wenye akili ndogo ndio wanaoweza kuona ni gari yagharama. fanya kazi kwa umahiri pesa halali ipo nyingi na utanunua gari kali sio hio ya machinga
Hufai kuwa kiongoziHivi hujui kuwa kuna watu tabia zao hawana tofauti na wanyama wa porini? Hivyo huyo kuwa na harufu ya punda au nyumbu sio ajabu hivyo kuwa kivutio cha simba kumla
ndio levo yake wanajipambanua taratibuHata wewe Barbarosa umefikia kiwango cha kupiga picha gazeti la udaku na kufanya ni thread? Dont go that much low bwana! Hayo mambo waachie wakina HAMY-D, Simiyu Yetu and the like"
Nashukuru kwa maelezo! Ni kweli anaweza kuimiliki kwa maelezo yako, ila si gari ya kawaida kwa hiyo original bei!Hiyo gari kuinunua hadi juipitisha bandarini ni almost 300mil. hivi baada ya makato yote. Sasa kwa wabunge kwa kuwa hawalipi kodi ya ushuru bandalini gari hiyo wanainunua kwa mil. 110 au hata ishirini hadi kufika bongo, wabunge wanajaziwa mafuta, gharama za matengenezo ya gari pamoja na mshahara wa dereva, kwanini washindwe kumiliki magari hayo?
Kinachokwamisha watu wasinunue hizo gari ni ushuru wa TRA bandarini, sasa wabunge wanapitisha magari bila kodi, kwanini asiweze kununua gari kama hiyo? Mil 90 wanazopewa kama mkopo wa gari wakiongezea kidogo tu wanapata vx/gx mpya kabisa.Nashukuru kwa maelezo! Ni kweli anaweza kuimiliki kwa maelezo yako, ila si gari ya kawaida kwa hiyo original bei!