Waya zingeingiliana ingetokea short hapo ni mfumo wa wiring umechoka unahitaji rewiringItakuwa nyaya zimeingiliana?
mkuu naomba nipe uzoefu wako wa extrail kwa safari ndefu kwa mfano umbali wa km 600-900 kwa siku je ni kweli kuwa huwa zinapata joto sana?Ninaomba mwenye uelewa anisaidie.
Gari aina ya Nissan Extrail, nikifunga break taa za mbele yaani parking light zinawaka. Pia taa za plate number zinawaka; na dash board inawaka
Si ujaribu tu mkuu..ili ujionee mwenyewemkuu naomba nipe uzoefu wako wa extrail kwa safari ndefu kwa mfano umbali wa km 600-900 kwa siku je ni kweli kuwa huwa zinapata joto sana?