Gari ist inahitajika 5m ipo!

Gari ist inahitajika 5m ipo!

kwa bongo unaweza kupata gari yoyote kwa bei yoyote hata mil1 ila terms n conditions apply eg la wizi, ubovu, uchakaaji nk nk... ivo inafaa uone gari kwanza then uamue bei, ukiamua bei utaletewa gari baada ya siku 5 nawe unatangaza kuliuza coz umeshagundua shida yake, sio kwamba hazipo ila kununua ya 5m utakuja kulipia zaidi ya2 kwenye aidha spea ili ikae sawa au kumalizana na polisi kwa magari yaliyopiga matukio na mwishowe itarudi pale pale kuwa umetumia mil 9 kuliweka sawa, ni ushauri wangu tu kwa kuwa kwenye magari nipo long time. wewe ingia TRA uangalie kodi ya IST kwanza hata kama ni gari ya 2001 then ulinganishe na bei yako.
Ikiwezekana agiza upate gari ya huakika miaka ijayo kwa amni kuliko kununua 'pressure'

Mimi mfano nilikuwa na gari haina kazi nikapiga hesabu kuirepea nkaangalia AC wakasema 480,000 , tairi zote 420,000 , ream 320,000 taa ya nyuma 70,000 rangi kwa mchina nikaambiwa 1,200,000 jumla ikaja kama 2,500,000/- iyo gari ikiwa nzima safi unapata hata kwa mil 7 unusu sasa nikapiga hesabu kwa nini nisichukue 7.5 minus 2.5m inakuja mil5 sasa kwa nini nisitangaze nauza kwa mil 6....kutangaza fasta mtu kanipa 5.5mil apo nani kacheza kama pele, mm niliyeacha service zote nkauza kwa mil5 au aliyenunua kwa mil5 ili akafanye yooooote yale ya mil2.5.....apo sasa akili za kuambiwa, changanya na zako by JK
 
wadau me nina 8m nahitaji ist ya mwak 2005...mwwnye nayo anipm
 
Mm nna 2003 Toyota IST/Silver/Milage Under 95,000Kms/plate#CAN#/two yrs since imported/OwnerWife/ in a good Condition.

Advantagious: no need of changing timing Belt, it has a new technology, inatumia Chain.


Bei: 8m.

Non Negotioable.
 
Wakuu IST imepatikana kwa wajanja, NGOJA NISEME, kuna kitu kinaitwa BAHATI hapa duniani, Pia bahati ya mtu hailaliwi mlango wazi, wala bahati ya mwenzio sio yako!!! wakati watu wanaendelea kubeza humu, IST imepatikana kwa 5.5m na lakii 2 ya taa jumla 5.7m, kutoka chanzo aminika, tumemalizana na TRA sasa shwari. Hapa mtu aikiitamani nampa kwa 8.5m number C. Jambo la msingi ni kuwa ni kweli Gari ni gharama tena IST huanzia 8m na juu inategemea hali yake, kwani bado ziko chati kwa sasa. Ila wauzaji wa gari wengine hawako kibiashara, ila kimfaacho mtu chake, huuza kwa lengo maalumu!! lakini pia vipo vyanzo ukiwa mjanja na mvumilivu wa muda, gari hupatikana!! inaitwa market exceptions!
 
Tahadhari,
Ningependa tu mmwambie ukweli ili ajipange na sio kumpa faraja wakati hali halisi ya hizi gari kwa sasa inafahamika.
Hizi gari bado hazijashuka bei,kwa 5m hupati labda iwe imeibiwa sehem watu wanataka chao na wewe kwenda Jela.

Usilinganishe na Gx100 kwa kusema kwamba hata 3m unapata,kila kitu na wakati wake,ukifuatilia mambo ya magari utagundua kwamba Toleo linalofuata kama likiwa bora kuliko la mwanzo ndio linashusha bei ya toleo lillilopo.
Baloon almarufu Bongo fleva ilikuja kushushwa bei na GX 100,Gx 100 ikatesa sana na yenyewe ikashushwa na mfumko wa matoleo mengi sana kwa wakati mmoja,kama Vitz,Nadia,Ipsum nk,na hapo hapo ikaja kwenye chati TI ambayo hadi leo bado inakimbiza kwenye bei na ubora,humohumo IST imejikita.Na ikaingia tena matoleo ya GX 110 na pacha wake na Mark x na pacha wake ambao bei yao ni ndefu ile mbaya
Sasa hapo mpaka lije toleo la kuzivuruga hizi ndio ahuweni inapatikana.

Kwa ufupi ni kwamba 5m hupati,wasikupe moyo bure,ni bora uongeze pesa au ununue aina nyingine,la sivyo jela inakuita,utauziwa la wizi.

IST bei yake ni 10m/- ukiagiza hadi iingie barabarani. Million5 sifikiri kama utapata gari hiyo. Ijapokuwa zinaitwa kwa majina ya kejeli lakini IST ni gari nzuri, comfortable, stable na economy fuel. Na ni gari la kisasa, kwani mengi yalianza kutolewa 2001. Na toleo jipya la hivi karibuni lina body kubwa zaidi ya haya yaliyopo mengi. Hata hapa Dar nmeanza kuyaona.
 
IST bei yake ni 10m/- ukiagiza hadi iingie barabarani. Million5 sifikiri kama utapata gari hiyo. Ijapokuwa zinaitwa kwa majina ya kejeli lakini IST ni gari nzuri, comfortable, stable na economy fuel. Na ni gari la kisasa, kwani mengi yalianza kutolewa 2001. Na toleo jipya la hivi karibuni lina body kubwa zaidi ya haya yaliyopo mengi. Hata hapa Dar nmeanza kuyaona.

Wakuu IST imepatikana kwa wajanja, NGOJA NISEME, kuna kitu kinaitwa BAHATI hapa duniani, Pia bahati ya mtu hailaliwi mlango wazi, wala bahati ya mwenzio sio yako!!! wakati watu wanaendelea kubeza humu, IST imepatikana kwa 5.5m na lakii 2 ya taa jumla 5.7m, kutoka chanzo aminika, tumemalizana na TRA sasa shwari. Hapa mtu aikiitamani nampa kwa 8.5m number C. Jambo la msingi ni kuwa ni kweli Gari ni gharama tena IST huanzia 8m na juu inategemea hali yake, kwani bado ziko chati kwa sasa. Ila wauzaji wa gari wengine hawako kibiashara, ila kimfaacho mtu chake, huuza kwa lengo maalumu!! lakini pia vipo vyanzo ukiwa mjanja na mvumilivu wa muda, gari hupatikana!! inaitwa market exceptions!

naona keshapata
 
kwa hiyo 5m ni Japan, maana custom duty ya IST hapa Tanzania ni $320 so may be uwe na exemption ya kodi.
 
Back
Top Bottom