Gari ist inahitajika 5m ipo!

Gari ist inahitajika 5m ipo!

IPILIMO

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
1,819
Reaction score
802
Gari hiyo inahotajika, iwe ktk hali nzuri, bajeti ni sh 5m! Not joking, but serious!

mwenye nayo atupie picha kwa whasapp 0754 734009
 
kwa hela hiyo bora ukanunue boxer yaani ata bajaji haitoshi
IST anzia 9m -12m ,may be iwe imetumika miaka minne bongo ndio mtu atakubali kukuuzia
jipange mkuu hiyo hela nakushauri ununue i phone 6 na ukajenge heshima bar for a week.
 
hiyo bei sijui labda utapata

Zipo,

Barabara ya Sinza Uzuri kuanzia kituo cha TANESCO, unapita mpaka SHULE then CORNER hadi DARAJANI utaziona zimepaki pande zote mbili, ulizia pale.
 
kwa hela hiyo bora ukanunue boxer yaani ata bajaji haitoshi
IST anzia 9m -12m ,may be iwe imetumika miaka minne bongo ndio mtu atakubali kukuuzia
jipange mkuu hiyo hela nakushauri ununue i phone 6 na ukajenge heshima bar for a week.

wapuuzi kama wewe wataendelea na upuuzi milele, jitambue:angry:
 
kwa hela hiyo bora ukanunue boxer yaani ata bajaji haitoshi
IST anzia 9m -12m ,may be iwe imetumika miaka minne bongo ndio mtu atakubali kukuuzia
jipange mkuu hiyo hela nakushauri ununue i phone 6 na ukajenge heshima bar for a week.

Acha ushamba wa magari wewe gari sikuiz kama andazi watutumeona altezza fresh kabisa inauzwa milioni 4..we jamaa vp
 
Zipo,

Barabara ya Sinza Uzuri kuanzia kituo cha TANESCO, unapita mpaka SHULE then CORNER hadi DARAJANI utaziona zimepaki pande zote mbili, ulizia pale.

Ahahahahaaa..halafu ww jaamaa bwana..lol..zile zinazokatwa spare..!!
 
hahahaha mi nimeshawai kuona gx 100 imeuzwa kwa mil 3 na nzima kabisa...endelea kutafuta mkuu....utapata...
 
IST ya 5M zipo, lakini wanaozipata ni wajanja wa mjini ambao mwisho wa siku wanaishia kukuuzia wewe kwa kuanzia 7M!
 
Tahadhari,
Ningependa tu mmwambie ukweli ili ajipange na sio kumpa faraja wakati hali halisi ya hizi gari kwa sasa inafahamika.
Hizi gari bado hazijashuka bei,kwa 5m hupati labda iwe imeibiwa sehem watu wanataka chao na wewe kwenda Jela.

Usilinganishe na Gx100 kwa kusema kwamba hata 3m unapata,kila kitu na wakati wake,ukifuatilia mambo ya magari utagundua kwamba Toleo linalofuata kama likiwa bora kuliko la mwanzo ndio linashusha bei ya toleo lillilopo.
Baloon almarufu Bongo fleva ilikuja kushushwa bei na GX 100,Gx 100 ikatesa sana na yenyewe ikashushwa na mfumko wa matoleo mengi sana kwa wakati mmoja,kama Vitz,Nadia,Ipsum nk,na hapo hapo ikaja kwenye chati TI ambayo hadi leo bado inakimbiza kwenye bei na ubora,humohumo IST imejikita.Na ikaingia tena matoleo ya GX 110 na pacha wake na Mark x na pacha wake ambao bei yao ni ndefu ile mbaya
Sasa hapo mpaka lije toleo la kuzivuruga hizi ndio ahuweni inapatikana.

Kwa ufupi ni kwamba 5m hupati,wasikupe moyo bure,ni bora uongeze pesa au ununue aina nyingine,la sivyo jela inakuita,utauziwa la wizi.
 
Tahadhari,
Ningependa tu mmwambie ukweli ili ajipange na sio kumpa faraja wakati hali halisi ya hizi gari kwa sasa inafahamika.
Hizi gari bado hazijashuka bei,kwa 5m hupati labda iwe imeibiwa sehem watu wanataka chao na wewe kwenda Jela.

Usilinganishe na Gx100 kwa kusema kwamba hata 3m unapata,kila kitu na wakati wake,ukifuatilia mambo ya magari utagundua kwamba Toleo linalofuata kama likiwa bora kuliko la mwanzo ndio linashusha bei ya toleo lillilopo.
Baloon almarufu Bongo fleva ilikuja kushushwa bei na GX 100,Gx 100 ikatesa sana na yenyewe ikashushwa na mfumko wa matoleo mengi sana kwa wakati mmoja,kama Vitz,Nadia,Ipsum nk,na hapo hapo ikaja kwenye chati TI ambayo hadi leo bado inakimbiza kwenye bei na ubora,humohumo IST imejikita.Na ikaingia tena matoleo ya GX 110 na pacha wake na Mark x na pacha wake ambao bei yao ni ndefu ile mbaya
Sasa hapo mpaka lije toleo la kuzivuruga hizi ndio ahuweni inapatikana.

Kwa ufupi ni kwamba 5m hupati,wasikupe moyo bure,ni bora uongeze pesa au ununue aina nyingine,la sivyo jela inakuita,utauziwa la wizi.

mimi sijamwambia kwamba atapata, mnimemwambia kwamba ZIPO, lakini wanaozinunua ni madalali wa mjini wanalipa faster na kupiga cha juu! Huwezi amini kuna watu mpaka leo hii wanalipia Mark X mpaka 22M, huwezi kuniuzia Mark X kwa zaidi ya 13M. Haka kamji mheshimiwa siku hizi kakubwa sana eti!
 
mimi sijamwambia kwamba atapata, mnimemwambia kwamba ZIPO, lakini wanaozinunua ni madalali wa mjini wanalipa faster na kupiga cha juu! Huwezi amini kuna watu mpaka leo hii wanalipia Mark X mpaka 22M, huwezi kuniuzia Mark X kwa zaidi ya 13M. Haka kamji mheshimiwa siku hizi kakubwa sana eti!
Hahahah,yaani mheshimiwa Mnyaa pamoja na posho zote unakuwa bahili namna hiyo.
Haya endelea
 
Cha muhimu uwe mvumilivu na usiweke mashart mengi kwenye hiyo gari utakayoipata, mfano tyre mpya iwe na km chache nk
 
Daah nimefanya sana hii biashara ya magari lakini sijawahi kukuta au mimi mwenyewe kuuza ist kwa hiyo bei, sababu ni kwamba ulaji wake wa mafuta ni mdogo sana ndio maana gx 100 zimeshuka sana bei kutokana na ulaji wake wa mafuta na nishawahi kuuza mbili moja kwa 2.5m na nyingine kwa 3m na ziko safi mpaka leo.
 
5m no way I see kwa mpya lkn kwa mtu aliyoichoka na tayari ametumia miaka kadhaa may be
 
Back
Top Bottom