Africa Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,504
- 2,262
- Thread starter
- #21
Shukrani mkuuChukua Runx au Allex cc 1490 usichukue ya cc zaidi ya hiyo
Shukrani mkuuChukua Runx au Allex cc 1490 usichukue ya cc zaidi ya hiyo
Shukrani mkuu
Bado Nafanya utafiti 3month'sUmeshanunua? Gari gani.
Bado....Nafanya utafiti 3month's
hahahahahahahKm hutak gx100 chukua gx110. Au Tafta Guta kwa 7laki yako.
Atafute Guta au bajaji ya mizigoTerious kid
Fun cargo
Nazo huzitaki?
Sidhani kama umemuelewa mtoa mada, haitaji gari ya sh 700,000 bali hicho ni kipato chake kwa mwezi. Hivyo anahitaji kujua gari ipi anaweza akaafford kwa kipato hicho.Km hutak gx100 chukua gx110. Au Tafta Guta kwa 7laki yako.
Kwa hicho kipato pia guta au duet itamfaaaaSidhani kama umemuelewa mtoa mada, haitaji gari ya sh 700,000 bali hicho ni kipato chake kwa mwezi. Hivyo anahitaji kujua gari ipi anaweza akaafford kwa kipato hicho.
Sawa!Kwa hicho kipato pia guta au duet itamfaaaa
Weka kwanza bajeti ya gari unalolitaka, utasema hautaki hizo gari ukaja na bajeti ya millioni 3. Sema unash ngapiHabari wakuu!
Kwa kipato hicho tajwa hapo juu, ni gari aina gani itanifaa na nitaweza kuimudu kwa pesa niipatayo cash kwa mwezi?
~Passo siitaki
~Gx100 siitaki...
Ila bado hayuko direct...kipato cha laki 7 haitoshi kushauriwa....aseme akishatoa matumizi yake mengine anabakiwa na kiasi gani na watu ndio wamshauri based on anachobaki nacho kwa ajili ya gari.Sidhani kama umemuelewa mtoa mada, haitaji gari ya sh 700,000 bali hicho ni kipato chake kwa mwezi. Hivyo anahitaji kujua gari ipi anaweza akaafford kwa kipato hicho.
Naunga mkono hoja....Chukua Runx au Allex cc 1490 usichukue ya cc zaidi ya hiyo