Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,092
- 13,308
Poapoa chibuAisee nimekupa yule mtoto wa kichaga ukamkamue vizuri sio ulete usharobaro kama kwa kataapilla. Kipochi kiko halafu msafi last time nimemnyoa mwenyewe ndo nikapiga
Poapoa chibuAisee nimekupa yule mtoto wa kichaga ukamkamue vizuri sio ulete usharobaro kama kwa kataapilla. Kipochi kiko halafu msafi last time nimemnyoa mwenyewe ndo nikapiga
SUBARU STIVitz,ist,passo,spacio,raum....
OvA
tena N14 inafaa sana HAWK EYE..... hapo abiria wanafika mapema sana kama wamepanda bodabodaFarasi hiyoooooo speed si ya kitoto
Ova
Sasa hapo si zitaenda Passo na Vits tu zenye 1KR engine! CC990Wiki ilopita nilikuwa posta ofisi za uber, kuanzia sasa hawasajili gari zaid ya cc 1300, pia gari ianzie mwaka 2003, pia gari iwe ishasajiliwa kuwa commercial. Kuwa makini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio lkn uwa inaonyesha gari gan dereva anakuj nayo km aupo comfortable unawez ku cancel tripKama nakumbuka vizuri mteja huwa hachagui gari huwa anaunganishwa na dereva aliye karibu naye
Shida spea mzeee n nzur piaChukua Mazda Demio, kapo vizuri halafu hakali mafuta. Pia ipo tofauti kidgo.
Kabisa au km bajeti ndogoo chukua AllionKama mnataka gari comfortable kwa wateja kwann msinunue Premio yenye cc 1500 ndani ni nzuri na ina rate ya 16km/L
Maajabu hayaSasa hapo si zitaenda Passo na Vits tu zenye 1KR engine! CC990