Spare zake mjini zinapatikana mkuu? Vp kuhusu na bei za spare?Thread closed!
Ila anaweza akafikiria Terrios Kid. Kako juu juu, bei cheap afu engine yake 660cc.
Wateja wengi wanakaa mabonde kuinama. Vitz, IST ni changamoto.
Uber ni umaskini kwa dereva 25% ya nauli inaenda Uber, eg. Nauli ya 10,000 mathalani Gongo la mboto - kivukoni.....Uber wanachukua 2,500, ununue bundle na airtime, smartphone, kila siku gari ioshwe (10,000/=)Wakuu nasubiri michango yenu
Unapondea wenzako wanaingiza almost 100.000 kwa siku ukitoa matumizi yote ana uhakika wa 40.000 kwa siku. 1.200.000 kwa mwezi.Uber ni umaskini kwa dereva 25% ya nauli inaenda Uber, eg. Nauli ya 10,000 mathalani Gongo la mboto - kivukoni.....Uber wanachukua 2,500, ununue bundle na airtime, smartphone, kila siku gari ioshwe (10,000/=)
Nakuambia hivyo maana nina uzoefu kiasi na UBER 40,000 faida kwa siku umehesabia uchakavu wa gari? Muda? Point ni kwamba 25% ni nyingi sana kwa uber wapunguzeUnapondea wenzako wanaingiza almost 100.000 kwa siku ukitoa matumizi yote ana uhakika wa 40.000 kwa siku. 1.200.000 kwa mwezi.
Acha kulalamika ndugu, kama 25 nyingi use watafuta mteja mwenyeweNakuambia hivyo maana nina uzoefu kiasi na UBER 40,000 faida kwa siku umehesabia uchakavu wa gari? Muda? Point ni kwamba 25% ni nyingi sana kwa uber wapunguze
Canter ama fuso tipper in case nikiwa na mizigo mingi otherwise Toyota corolaWakuu, nataka nichukue kindika cha kufanyia Uber niachane na ajira hizi za manyanyaso.
Nataka kujua kwanza wateja wengi wanapenda au kuwa comfortable na gari ipi wanapotaka kutumia Uber.
Nataka gari hizi ndogo chini ya CC 1500.
Je we huwa unapenda Ukiita Uber ije gari gani?
Gari hata usipoitumia kama Uber inachakaa tu. Labda uipaki uwe unaiendesha mara moja kwa mwezi.Nakuambia hivyo maana nina uzoefu kiasi na UBER 40,000 faida kwa siku umehesabia uchakavu wa gari? Muda? Point ni kwamba 25% ni nyingi sana kwa uber wapunguze
Nakuambia hivyo maana nina uzoefu kiasi na UBER 40,000 faida kwa siku umehesabia uchakavu wa gari? Muda? Point ni kwamba 25% ni nyingi sana kwa uber wapunguze
Raum kwa siku utaleta bei gan?kama kuna mtu anaitaji dereva wa uber nipo hapa njoo tukubariane na mazungumzo nipo dar es salaam
Mkuu ni route gani zina pesaa?Unapondea wenzako wanaingiza almost 100.000 kwa siku ukitoa matumizi yote ana uhakika wa 40.000 kwa siku. 1.200.000 kwa mwezi.
gari zozote mkuu hasa izi ndogo ambazo ulaji wake wa mafuta sio sanaRaum kwa siku utaleta bei gan?
Sema kabla ya hata kuonana.
Route ni very dynamic brother.Mkuu ni route gani zina pesaa?
Nauli ya dereva taxi ni juu kidogo zaid ya UBER...sehemu ya Uber kwenda 3,000 taxi ya kawaida atakutoza 10,000Magari ya dereva taksi huwa nayo hayachakai?
Chibu chibuNauli ya dereva taxi ni juu kidogo zaid ya UBER...sehemu ya Uber kwenda 3,000 taxi ya kawaida atakutoza 10,000
Mahesabu ya siku nzima uber anamzidi dereva taksi hata mara 5 zaidi.Nauli ya dereva taxi ni juu kidogo zaid ya UBER...sehemu ya Uber kwenda 3,000 taxi ya kawaida atakutoza 10,000
Mkuu ulishawahi kufanya uber ama unahadithiwa?Mahesabu ya siku nzima uber anamzidi dereva taksi hata mara 5 zaidi.