Injini nzuri sana.
Mkuu gari unavyonunua usiangalie ni namba A,B au c mm wakat nanunua hii zilikuwepo namba b lakin zilikua zimechoka kuliko hii namba A na hata kuuza ni sababu kuna kitu nataka kufanyia pesa na gari hii ni nzima kuliko unavyofikiria siisifii njoo na fundi uichekiKumbuka namba yake inaanzia A,ukiwa freshi chukua mbili