Kwetunikwetu
JF-Expert Member
- Dec 23, 2007
- 1,535
- 408
Duh hiyo gari kali....! Haya wenye hamu na mikangafu karibuni
Last edited:
Mzee!Habari!
Naomba niwekee tangazo nauza gari Toyota Chaser Rafine T921 AEA iko katika hali nzuri bei 2.5M Maelewano yapo inatembea. sababu za kuuza ni haraka kwa ajili ya ada ya shule. mawasiliano 0713669533/ 022 2850620
Regards
OP
Wadau! mambo vipi? Tumsaidie Original Pastor jamani amekwama.
GARI INAUZWA Toyota Chaser year 1999 kuingia Tanzania KM 169600 iko katika hali nzuri bei Maelewano inatembea. sababu za kuuza ni haraka kwa ajili ya kubadilisha gari. mawasiliano.email: frankrwegoshora@yahoo.com
Duh hiyo gari kali....! Haya wenye hamu na mikangafu karibuni