Gari inahitajika,bajeti mil 2

Gari inahitajika,bajeti mil 2

ubongokid

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
2,327
Reaction score
4,561
Inahitajika gari ndogo kati ya aina hizi;

Toyota duet,daihatsu terios kid daihatsu,Vitz au gari kama hiyo,namba B

Kama Ipo njoo PM nikupe mteja,Gari iwe Dar es Salaam

Karibu Sana
 
Kuna mjamaa yangu ana Suzuki yake anaiuza kwa bei kama hiyo ila Mbongo si mwaminifu, unakuta mjamaa anatoa Ml.3 au mbili na kitu ila mtu anabania pesa inayobaki licha ya ukaribu alionao na huyo mtu.
Ungekuwa unaihitaji wewe mwenyewe ningekuunganisha naye free incharge.
 
Inahitajika gari ndogo kati ya aina hizi;

Toyota duet,daihatsu terios kid daihatsu,Vitz au gari kama hiyo,namba B

Kama Ipo njoo PM nikupe mteja,Gari iwe Dar es Salaam

Karibu Sana
Iyo gari ulipata Asee
 
Inahitajika gari ndogo kati ya aina hizi;

Toyota duet,daihatsu terios kid daihatsu,Vitz au gari kama hiyo,namba B

Kama Ipo njoo PM nikupe mteja,Gari iwe Dar es Salaam

Karibu Sana
hivi kuna gari za M2 au unatafuta mkweche
 
Nichek inbox. Nina gari kali namba C nikuuzie... Ila injini ina leakage ya oil kidogo hivyo utalazimika kubadilisha gasket. Sio tatizo kubwa sana. Ila gari bado ni kali.
 
Kuna mjamaa yangu ana Suzuki yake anaiuza kwa bei kama hiyo ila Mbongo si mwaminifu, unakuta mjamaa anatoa Ml.3 au mbili na kitu ila mtu anabania pesa inayobaki licha ya ukaribu alionao na huyo mtu.
Ungekuwa unaihitaji wewe mwenyewe ningekuunganisha naye free incharge.
we muunganishe tu, hivyo ndo walivyo wabongo
 
Utapata kweli? maana Bajaji yenyewe milioni saba.
 
Inahitajika gari ndogo kati ya aina hizi;

Toyota duet,daihatsu terios kid daihatsu,Vitz au gari kama hiyo,namba B

Kama Ipo njoo PM nikupe mteja,Gari iwe Dar es Salaam

Karibu Sana
Kila la heri mkuu naona umeamua kujiongezea stress.
 
Mtumba wa mbongo ni tambala la deki gari ya mil mbili waweza jikuta unashinda gereji kama wewe ndo fundi mechanics
Usijali uzoefu wa gari ndo muhimu mengine ni kawaida tu,Hata gari ya japani inaweza kukutoa nishai
 
Back
Top Bottom