Da!nimekumbuka Tosamaganga secondary walikuwa wana kitu kama hii ila yao imekaa vzr
Sor! Sjaelewa hiv dhaman ni sawa na thaman?
kiongozi mbon umeshtuka kwa ni ni kidogo sanaduh...
Kwani hujui kuwa mwandishi anatoka Kishumundu
Umenikumbusha mbali sana ile ngoma ilikuwa "blue color", siku za j'mosi wakati inakwenda mjini kufanya shopping ya shule tulikuwa tunaitumia kwenda kutembea mjini halafu mnaitaimu wakati wa kurudi mnarudi nayo, ikikuacha imekula kwako halfu unakuta poketi money nayo imekata.Da!nimekumbuka Tosamaganga secondary walikuwa wana kitu kama hii ila yao imekaa vzr