Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,888
- 831,209
Sipati faida yoyote kwenye huo upotoshaji tembelea minada ya TRA pale W9 utajuaUsipotoshe ndugu nielekeze nikachukue
Sipati faida yoyote kwenye huo upotoshaji tembelea minada ya TRA pale W9 utajuaUsipotoshe ndugu nielekeze nikachukue
Mkuu weka ushahidi wa dhahiriSipati faida yoyote kwenye huo upotoshaji tembelea minada ya TRA pale W9 utajuaView attachment 402679View attachment 402680View attachment 402681kitu hiyo haifiki mwekundu pale pamoja na registration
Mmh zaidi ya picha?Mkuu weka ushahidi wa dhahiri
Mkuu what I know hizo za minada sio guarantee kuzipata.Mmh zaidi ya picha?
Ukiitaka hii tuwasiliane pm hapa ni kama tumeingilia uzi wa watuMkuu what I know hizo za minada sio guarantee kuzipata.
Kumbe ss wamikoani ndo wakutupigae..poa mkuuSubiri kidoogo.. Wa mikoani wanakuja sasa hivi...
Mnyama vipi mkuu? Hebu ongezea nyama kidogo maana chombo hicho nakijua kijuu juu tu.Mmh..! Ungejua GX 100 ni mnyama
Mbio na uimaraMnyama vipi mkuu? Hebu ongezea nyama kidogo maana chombo hicho nakijua kijuu juu tu.
Akhsante mkuu.....ipi bora zaidi kati ya hii na Carina si?Mbio na uimara
Kama ni mtu wa safari GX 100 ndio pake ila kama ni mizunguko ya town carina inafaa zaidi hasa kwenye fuel consumptionAkhsante mkuu.....ipi bora zaidi kati ya hii na Carina si?
Akhsante mkuu.Kama ni mtu wa safari GX 100 ndio pake ila kama ni mizunguko ya town carina inafaa zaidi hasa kwenye fuel consumption
Bandarini 5.8mil imeshindwa kutolewa au ni ya mnada napenda kujua kwa hio bei ushuru wao nadhani itakua bado si ndio?Mkuu bandarini mpaka 5.8
Za mnada hulipi zaidi ya plate numberBandarini 5.8mil imeshindwa kutolewa au ni ya mnada napenda kujua kwa hio bei ushuru wao nadhani itakua bado si ndio?
Vipi mkuu, inakunywa km ngapi kwa litre?jini mafuta hilo
Kuna bei ukiweka mtu anaogopa hata kuanza mazungumzo.Mkuu mshana,,,,..bei inapungua mbona tatizo hakuna!