- Thread starter
- #21
Kweli matangazo ya biashara yana wataalam wake...unaweza ukajua unasifia kumbe unaharibu kabisa...
1.7lt sawa na km moja haya sasa...lita 17 km 10 kazi ipo hapo...teh teh teeeh!!!
Mie mkazi wa Morogoro unanishawishi km ntatoka mjini mpk Mzumbe ni lita 42 kazi ipo...sijarudi hapo mjini!!!
Mkuu lete hio 5.2m nikushushie machine hapo moro