Peter jaluo
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 1,750
- 253
Naitaji gari aina hiyo mwenye nacho ofa yangu 3 million ni pm tuongee biashara
Mkuu mbona matusi tena kama unayo tutazungumza hasiri aifai kakaVitz kwa 3Mill, nenda kwa Shangazi yako akakuuzie
Usilete masihala hapa
Ukihitaji gx 100 niambie unipe hela.
Mkuu mbona matusi tena kama unayo tutazungumza hasiri aifai kaka
Msamehe bure.
By June nitapata hiyo cash, nitakustuahebu ongeza japo kidogo iwe 4.5 milioni mkuu tufanye biashara kwani mm naagiza toka japan
hebu ongeza japo kidogo iwe 4.5 milioni mkuu tufanye biashara kwani mm naagiza toka japan[/QUOTE usajili tiari au ?
by june nitapata hiyo cash, nitakustua
hebu ongeza japo kidogo iwe 4.5 milioni mkuu tufanye biashara kwani mm naagiza toka japan
Milango mingapi?
milango 2
Magari yatapanda kwani dola inapanda kila iitwapo leo hivyo itakugharimu sana[/QUOTE
Yote yako nje ya uwezo wangu, kuzuia dollar isipande na kuipata iyo cash hivi sasa. so acha maji yafuate tu mkondo wake
0715757041 nicheki nikaone hilo garihebu ongeza japo kidogo iwe 4.5 milioni mkuu tufanye biashara kwani mm naagiza toka japan
ha