Pape JF-Expert Member Dec 11, 2008 5,488 79 Dec 9, 2009 #1 Mtu kuwa na nywele nyingi miguuni (ugokoni na mapajani) na kifuani kuna sababishwa na nini? Ni jinsi gani ya kuzipunguza maana zinakera!
Mtu kuwa na nywele nyingi miguuni (ugokoni na mapajani) na kifuani kuna sababishwa na nini? Ni jinsi gani ya kuzipunguza maana zinakera!