Kweli ndumu ni noma..!!kuna jamaa kichakani walikuwa wanavuta bangi wakavuuta mpaka kiberiti kikaisha ikabidi wamtume mmoja wao akatafute kiberiti jamaa akazunguka kile kichaka akarudi pale pale kwa washkaji akawauliza mazee mna kiberiti jamaa wakajibu kuna mtu tumemtuma anakuja cc hivi!!
FiyKweli ndumu ni noma..!!
Kweli ndumu ni noma..!!
kuna jamaa kichakani walikuwa wanavuta bangi wakavuuta mpaka kiberiti kikaisha ikabidi wamtume mmoja wao akatafute kiberiti jamaa akazunguka kile kichaka akarudi pale pale kwa washkaji akawauliza mazee mna kiberiti jamaa wakajibu kuna mtu tumemtuma anakuja cc hivi!!