Mimi ni kolo huyu jamaa atatuua jamani.
Natamami aondoke Tanzania makolo tupate amani.
Kama yanga hii ilotupiga kono la nyani sio anayoitaka ikija anayoitaka si atatufunga kumi.
Huyu Gamondi afukuzwe Tanzania haiwezekani kocha asiwe na huruma hata kidogo.