Gamepad for FIFA13 PC game

Gamepad for FIFA13 PC game

Zeddicus Zu'l Zorander

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2011
Posts
804
Reaction score
956
Nahitaji gamepad kwa ajili kucheza Fifa 13 kwenye PC kwa yeyote anayejua Pad nzuri naomba anishauri ni ipi, nikipata gharama na mahali pa kuipata itakuwa vizuri..
 
pad za kichina zinafaa narecomend ucom bei 10,000 mahali pa kuzipata kituo cha polisi msimbazi upande wa pili kuna maduka meng ya vifaa vya computer
 
Chukua hizi za 20 zina analog ziko poa za 10 zina button tu
 
Chukua hizi za 20 zina analog ziko poa za 10 zina button tu

mkuu yangu pia ina analog ni ucom. Kwa pad ya kichina 20,000 unaibiwa. Labda zile ambazo ni za 2 player pad 2 zina usb cable moja
 
mkuu yangu pia ina analog ni ucom. Kwa pad ya kichina 20,000 unaibiwa. Labda zile ambazo ni za 2 player pad 2 zina usb cable moja
Yangu sio ucomm na ilikua kwenye box peke yake maduka yote nayopitiaga nakutaga za ucom elfu 10 ila hiyo 20 ila natafuta za logitech sa hv
 
Mimi natumia hz hapa imara kuliko zote nilizowahi kutumia zinaenda mwaka wa 2 nw na nilinunua kko kwa just 18000 tu tzsh
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1366709354640.jpg
    uploadfromtaptalk1366709354640.jpg
    103.6 KB · Views: 95
Alafu mkuu co kwa ajili ya fifa 13 bali ni kwa game lolote la pc linalosupport generic usb joystick
 
kuna vi file unaweka kama game linahitaji pad ya xbox tu halafu unatumia hyohyo generic game linadhan unatumia pad ya xbox
 
Mimi natumia hz hapa imara kuliko zote nilizowahi kutumia zinaenda mwaka wa 2 nw na nilinunua kko kwa just 18000 tu tzsh

inaonekana ya ukweli hii.

Ucom inakubali pes na fifa tu. Je hii inakubali game zote maana kuna game zinasuport pad kama gta san andreas yangu inakataa
 
kuna vi file unaweka kama game linahitaji pad ya xbox tu halafu unatumia hyohyo generic game linadhan unatumia pad ya xbox

vifile gani mkuu na xbox hizo zinainclude hizi za windows 8?
 
inaonekana ya ukweli hii.

Ucom inakubali pes na fifa tu. Je hii inakubali game zote maana kuna game zinasuport pad kama gta san andreas yangu inakataa

Mkuu light wave inafunction almost all games ukitôa vigame vidogovidogo
 
inaonekana ya ukweli hii.

Ucom inakubali pes na fifa tu. Je hii inakubali game zote maana kuna game zinasuport pad kama gta san andreas yangu inakataa
hii inakubali mazagazaga yote kuanzia fifa,need for speed,assasin creed gta na mengine mengi ila kwa pes sijawahi jaribu ila im sure itapiga kazi
 
gta sanandreas kushuka chini zinakubali tu generic usb game pad ila gta 4 inataka pad ya xbox ili ucheze haikubali pad za kawaida kuna mafile unaweka kwenye game halafu yenyewe ita detect hiyo generic kama ni pad ya xbox unapiga mzigo tuu
 
Back
Top Bottom