MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,693
- 21,765
Aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini ndg Mrisho Gambo yuko katika hatua za mwishomwisho za kuteuliwa, kuapishwa na kupelekwa Havanna Cuba kuiwakilisha nchi katika uga wa kidiplomasia kama balozi.
Kila kitu kiko tayari, kinachosubiriwa ni taarifa rasmi ya Mawasiliano Ikulu muda wowote.
JF kuwa wa kwanza kupata habari
Kila kitu kiko tayari, kinachosubiriwa ni taarifa rasmi ya Mawasiliano Ikulu muda wowote.
JF kuwa wa kwanza kupata habari