Tetesi: Gambo kupelekwa Havanna Cuba

Tetesi: Gambo kupelekwa Havanna Cuba

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,693
Reaction score
21,765
Aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini ndg Mrisho Gambo yuko katika hatua za mwishomwisho za kuteuliwa, kuapishwa na kupelekwa Havanna Cuba kuiwakilisha nchi katika uga wa kidiplomasia kama balozi.

Kila kitu kiko tayari, kinachosubiriwa ni taarifa rasmi ya Mawasiliano Ikulu muda wowote.

JF kuwa wa kwanza kupata habari
 
Aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini ndg Mrisho Gambo yuko katika hatua za mwishomwisho za kuteuliwa, kuapishwa na kupelekwa Havanna Cuba kuiwakilisha nchi katika uga wa kidiplomasia kama balozi.
Kila kitu kiko tayari, kinachosubiriwa ni taarifa rasmi ya Mawasiliano Ikulu muda wowote.
JF kuwa wa kwanza kupata habari
Bila kozi au semina fupi ya mambo ya diplomasia?
Bifu lake na Mchengerw.. na Paul limeisha?
 
Aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini ndg Mrisho Gambo yuko katika hatua za mwishomwisho za kuteuliwa, kuapishwa na kupelekwa Havanna Cuba kuiwakilisha nchi katika uga wa kidiplomasia kama balozi.

Kila kitu kiko tayari, kinachosubiriwa ni taarifa rasmi ya Mawasiliano Ikulu muda wowote.

JF kuwa wa kwanza kupata habari
Asisahau kupitia pale mwalimu Nyerere memorial kupata Ka short course
 
Kawaida yao wanakuchinja huku na wanaenda kukamulia ndimu mbele ya safari
 
Aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini ndg Mrisho Gambo yuko katika hatua za mwishomwisho za kuteuliwa, kuapishwa na kupelekwa Havanna Cuba kuiwakilisha nchi katika uga wa kidiplomasia kama balozi.

Kila kitu kiko tayari, kinachosubiriwa ni taarifa rasmi ya Mawasiliano Ikulu muda wowote.

JF kuwa wa kwanza kupata habari

Akikubali atakuwa mjinga ni bora afanye biashara zake Arusha. Huko Cuba ni njaa tu
 
Back
Top Bottom