hahahahaa Mpwa sasa mbona unanicheka tena? Ni Dubai na hawa jamaa huwa siwaamini sana ndio maana
tofauti kubwa kati ya S5 original na clone ni kwamba unapozigeuza geuza kwenye mwanga S5 original huonesha rangi ya dack-bluu simu ikiwa imezimwa but kwa S5 clone huonesha black..
hiyo ndio tofauti kubwa kuliko zote na hiyo ni rahisi kutambua tofauti kati ya ORIGINAL NA CLONE
pia zoezi hili waweza kutumia kwenye S3 na ,S4 pia
Yani huu uzi umenifurahisha nimecheka hadi badi utadhani nipo cheatchat maana watanzania tunaonewa sana na hawa macho madogo (chines) Unaona nchii itakuwa imeisha umizwa sana hata yale mavifaru ya sherehe za muungano nayo ni clone tu!
Wewe unaongelea wanazouza barabarani clone ya dukani inafanya vyote hivyo! Sema lingine.Only way to identfy original samsung galaxy is by
1😛ut phone in download mode (fake cant )
2:connet phon in computer by using samsung kies software (fake wont be recognised by samsung kies)
Only way to identfy original samsung galaxy is by
1😛ut phone in download mode (fake cant )
2:connet phon in computer by using samsung kies software (fake wont be recognised by samsung kies)
Wadau mambo niaje,
ebhana jamani mwenzenu nimeingizwa cha kike, nimenunua Galaxy s5 nikadhani original maana njia zote za kutest simu original nilifanya na iyo simu ikakubali ndipo nikainunua kwa mihela mingi tu...Ila nilipoenda kuitumia ndo nikagundua ni tofauti na galaxy s5 original, maana niliangalia features za original kwenye youtube nikagundua ya kwangu haina features za namna iyo..ndipo nikaangalia kwenye mitandao nikaona kuna galaxy s5 model kama yangu ( G 9006V ) wanaizungumzia wenyewe wanasema sijui ni clone ya s5, daah imeniuma sana wadau.
NATAFUTA MTU kama anaitaka anirudishie hata nusu ya ela yangu tu..maana sijazoea kutumia fake na pia stimu zote za kuitumia hii simu zimekata.
Sasa hizo clone zina warranty?maana kila kitu sawa??