GADO Anamaanisha nini hapa?

Hilo sanduku la hela liko katika jeki........kila ukiinama na jeki inashuka mpaka uiname sawia na anavyotaka ''bwana mkubwa''
 
" Ukitaka kula, shurti nawe uliwe", hayo aliyasema Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete...
Suala muhimu la kujiuliza ni kuwa kashaliwa mara ngapi kabla naye hajala?
 
" Ukitaka kula, shurti nawe uliwe", hayo aliyasema Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete...
Suala muhimu la k
ujiuliza ni kuwa kashaliwa mara ngapi kabla naye hajala?

Huyo naona analiwa bure tena sin mara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…