brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Beki namba 3 wa Yanga na taifa stars Gadiel Michael ameondoka Leo kuelekea south Africa katika klabu ya Bidvest Wits inayoshika nafasi ya 2 kwenye ligi kwa majaribio ya wiki 2 hata hivo Bidvest wanakabiliwa na upinzani kutokana klabu ya super sport United ambao nao wanataka beki huyo.
Beki huyo alizivutia kablu hizo Mara baada ya kumuona kwenye mchezo na Uganda and app Gadiel alicheza vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Beki huyo alizivutia kablu hizo Mara baada ya kumuona kwenye mchezo na Uganda and app Gadiel alicheza vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app