Labda sijaelewa kidogo mbinu za medani katika vita. Simuungi mkono Ghadafi lakini Nato kwa nini wanapiga nyumba za makazi za Ghadafi?. Nilitarajia wapige vituo vya kijeshi na zana za kijeshi za Ghadafi ili kupunguza nguvu zake za kijeshi!. Why all those killing and destroying citizens areas wakati kila siku Ghadafi ana wa bonb wapinzani wake!?. Kama kuna mtu anajua hii stratejia na atujuze.